henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Pumbaff zako. Nenda kajipige miti
Wacha ushoganakuja kukupiga miti... punguza povu.
bila shaka mnakumbuka tukio la baraza la sanaa nchini tanzania(basata) kufungia wimbo wa nyegezi ulioimbwa na mwanamziki rayvanny ft diamond platnumz.
basata imewapiga marufuku diamond platnumz na rayvanny kutoimba wimbo wa nyegezi mahali popote pale wanapo tumbuiza kutokana mashahiri yake kutozingatia maadili.
baada ya siku chache, mamlaka ya kenya inayohusika na ku control maudhui ya kazi za sanaa ikatoa tamko la kuutambua wimbo huo na kudai kwamba mashahiri yake hayana shida yoyote.
kwa maana hiyo diamond platnumz na rayvanny wapo huru kuuimba kwenye majukwaa ya kenya kama walivofanya hivi karibuni kwenye tamasha lao sikukuu za mwisho wa mwaka.
jana mwanamziki wa kenya khaligraph jones ambaye binafsi huwa nakubali sana ngoma zake, alipost video fupi kwenye ukurasa wake wa instagram ikimuonyesha akimuimbia mtangazaji wa tv betty kyallo mashairi ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti".
wakenya walewale waliodai wimbo wa nyegezi hauna shida yoyote, wame react kwa hasira kumlaumu khaligraph jones kwamba mashahiri ya wimbo wake wa "nataka kukupiga miti" hayana maadili.
kwa kweli huu ni unafiki wa hali ya juu sana.
tafadhali wakenya, mwacheni khaligraph jones afanye kazi yake. mkiendelea kumsumbua, tutamshawi ahamie tanzania.
huwa hatushwindwi kitu.
na kwa kuonyesha jeuri, tutamkabidhi 100 hectares of land for free ili afanye investment yoyote ile atakayojisikia.
tunajua moja ya kero kubwa miongoni mwa wakenya ni ukosefu wa ardhi kutokana na ardhi kubwa kunyakuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara wachache.
View attachment 991903View attachment 991904
Sheng ndio uchafu ganiSijaongea kuhusu kiswahili, kuna tofauti kubwa sana kati lugha ya kiswahili na sheng.
Wa kwapa.