Kenyan Soldier (Ph.D holder) Working for US Billionaire Elon Musk

Unampongeza kwa yeye kuwa na Phd au unampongeza yeye kuwa Korokoroni wa Elon Musk??.

Mimi nampongeza kuwa na Phd lakini ni mpumbavu kwenda kuitendea kinyume Phd yake (his abuse of his profession) --- kuwa korokoroni.

Wewe hufikiri huko US kuna Astrophycisists wazungu wangapi wenye Phd wanaoweza kushika nafasi hiyo ambayo Elon amewaacha na aje amchukue huyo Mkenya mweusi tii kuliko mimi??--- yawezekana Phd yake ni ya jalalani inayomfaa mtu awe korokoroni na sio Lacturer nk.

Wewe hauwezi kupongeza maana hata haujui nini kinazungumzwa kuhusu, umekurupuka kama kawaida yenu.
 
Wewe hauwezi kupongeza maana hata haujui nini kinazungumzwa kuhusu, umekurupuka kama kawaida yenu.


"Mkenya mwenye Phd ya Astrophysics awa korokoroni wa Elon Musk".------ is it not the subject??
 
Kha!! Kuajiriwa huko kwa Elon Musk jameni hata wazawa wa US huwa ndoto ya mbali sana kwao, ili uruhusiwe kufanya kazi kwenye hayo madubwasha unapitia usaili mkali sana na hapo jamaa ana fursa ya kufanya makubwa, umeona anasaka PhD ya pili.

Nimeiona hiyo mkuu, jamaa ameamua kujikita kwenye taaluma kisawa sawa.

Nilichosema kuhusu roho mbaya za watu ni hapo kujitoa ufaham kutambua juhudi binafsi za huyu jamaa...

Wameshindwa kuweka umakini kwamba jamaa PhD yake ya hayo mambo ni peke yake anayo kwa jeshi zima la US. Sio kitu cha kubeza hicho
 
"Mkenya mwenye Phd ya Astrophysics awa korokoroni wa Elon Musk".------ is it not the subject??

You can come up with different subjects Chief, it depends on which kind of lens and your objectives.
 
Nimeiona hiyo mkuu, jamaa ameamua kujikita kwenye taaluma kisawa sawa.

Nilichosema kuhusu roho mbaya za watu ni hapo kujitoa ufaham kutambua juhudi binafsi za huyu jamaa...

Wameshindwa kuweka umakini kwamba jamaa PhD yake ya hayo mambo ni peke yake anayo kwa jeshi zima la US. Sio kitu cha kubeza hicho
Jeshi zima la US,mwenye PHD ni mmoja,tena Mkenya!!!acha utani basi jombaaa,hata kama ni mahaba hapa umetia chumvi nyiiiingi

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
"Mkenya mwenye Phd ya Astrophysics awa korokoroni wa Elon Musk".------ is it not the subject??
"Mkenya mwenye Phd ya Astrophysics awa korokoroni wa Elon Musk".------ is it not the subject??

Hapana!!! Mtanzania profesa afuata matangawizi Madagascar na kusema ndio dawa ya corona...hehehe
 
Jeshi zima la US,mwenye PHD ni mmoja,tena Mkenya!!!acha utani basi jombaaa,hata kama ni mahaba hapa umetia chumvi nyiiiingi

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app

Bado tunasafari ndefu sana, kwanza kwa taarifa yako mie sio mkenya, tuanzie hapo kwanza.

Pili, soma kwa umakini na utulivu, huyo mkenya ndio pekee mwenye PhD ya Astrophysics kwa jeshi la US ( kwa mujibu wa hii habari)

Ni mie nimetia chumvi au habari ndivyo ilivyoletwa? Umechukua muda kidogo kusoma tu kile kimeandikwa?
 
Kha!! Kuajiriwa huko kwa Elon Musk jameni hata wazawa wa US huwa ndoto ya mbali sana kwao, ili uruhusiwe kufanya kazi kwenye hayo madubwasha unapitia usaili mkali sana na hapo jamaa ana fursa ya kufanya makubwa, umeona anasaka PhD ya pili.
Inaitwa rat race..

Alivyosema jamaa ni sahihi, ukiangalia begani jamaa hana hata nyota, ni Private tu.. Ni heri aje hapo University of Nairobi afundishe vijana hiyo fani aliyosomea kuliko kuwa underrated huko US Army..
 
Huyo jamaa ni phd holder pekee katika Astrophysics kwa huyo Elon Musk, kumbuka ni Pekee, kumbuka pia yeye ni mtu mweusi, kwani umesikia wazungu wanawapenda watu weusi??--- hapo kuna kitu kibaya kinatafutwa kwa huyo mtu mweusi ila hao akina MK 254 hawalioni hilo isipokuwa kuja hapa na tambo za kijinga za; "Sisi Wakenya-----"
Hakuna cha 'SISI' ni 'YEYE'. Mafanikio ni yake na familia yake. Sio mtu mweusi wa kwanza kufanya kazi huko, dah. Ishu ndogo hii
✌️
 
Inaitwa rat race..

Alivyosema jamaa ni sahihi, ukiangalia begani jamaa hana hata nyota, ni Private tu.. Ni heri aje hapo University of Nairobi afundishe vijana hiyo fani aliyosomea kuliko kuwa underrated huko US Army..
Aliyekwambia yuko 'underrated' huko ni nani, yaani aache donge nono na kazi poa arudi KE, hivi uko sawa wewe? 😂
✌️
 
Hakuna cha 'SISI' ni 'YEYE'. Mafanikio ni yake na familia yake. Sio mtu mweusi wa kwanza kufanya kazi huko, dah. Ishu ndogo hii
✌️


Mwambie huyo Mk254 kwamba ni "yeye" huyo mwenye phd na sio sisi (wao wakenya) wote masuala ya huyo phd holder yanawahusu.
 
Hapana!!! Mtanzania profesa afuata matangawizi Madagascar na kusema ndio dawa ya corona...hehehe


Wewe unadhani ni sifa kwa phd holder in Astrophysics kupewa kazi ya ukorokoroni??!!, hiyo ni dharau na tusi kubwa kwamba Phd yake inafaa kwa kazi hiyo ni sio vinginevyo.

Sio kila kitu ni pride, Wakenya jitambueni.🤣
 
Wewe unadhani ni sifa kwa phd holder in Astrophysics kupewa kazi ya ukorokoroni??!!, hiyo ni dharau na tusi kubwa kwamba Phd yake inafaa kwa kazi hiyo ni sio vinginevyo.

Sio kila kitu ni pride, Wakenya jitambueni.🤣
Wewe unadhani ni sifa kwa profesa jalalani kufuata kikombe cha babu Madagascar, kwenu huko wanaojiita "wasomi" ni kituko, sasa na wasio wasomi kama wewe si ndio aibu ya kufa mtu....hehehehe
 
Wewe unadhani ni sifa kwa profesa jalalani kufuata kikombe cha babu Madagascar, kwenu huko wanaojiita "wasomi" ni kituko, sasa na wasio wasomi kama wewe si ndio aibu ya kufa mtu....hehehehe


Ni Lini mimi nilikuja hapa kumsifia intellectual wetu yeyote kama wewe ulivyokuja hapa kumsifia huyo korokoroni wako ??!!--- huoni hata aibu katika post yako #20 ulipoandika:-

"Muhimu sana watu wakasoma hii in 2019 he cleared his Phd in Astrophysics being the only soldier in the US millitary to have it. He is currently pursuing another Phd in atomic physics".

Eti, "being the only soldier in the US military to have it", currently pursuing another phd in atomic Physics!!!.---- after is done with the atomic physics Phd what job is he going to do??? Maybe he will be a dish washer in the military officers mess, and you will come here cherishing him for the job saying;
"having the Phd in Astro & atomic physics, he is the only soldier in the entire world to undertake the job". 🤣

Being the only------.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom