Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
- Thread starter
- #21
Jinsi walivyofanya sio bomba kabisa kumtoa pale ilitosha kisha wangemfungulia mashataka yatokanayo kama yapo.Haya mambo ya kunyamazisha watu muda wake umepita.
Nakubaliana na mawazo yako moja kwa moja.Ile kumkurupusha kutoka juu hadi chini ilikua tosha.Kujaribu kumlostisha ni mambo ya zamani and the Kenyan security apparatus can do better.