Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Kama Angekuwa Dr Dhaifu angewaongezea asilimia 200
Hahahahaaa, lakini naona sasa hapa kwetu kila kitu tumekuwa tunaki politisize hata yale masuala ya msingi.Kama Angekuwa Dr Dhaifu angewaongezea asilimia 200
Habari nilizozisikia asubuhi hii ni kwamba Rais wa Kenya Mwai Kibaki amekataa wabunge kujiongezea posho kwa kuwaambia huo utabukuwa ubinafsi kwani kwa sasa nchi iko kwenye vuguvugu la walimu na maditari kudai nyongeza ya mishahara ambalo halijaisha kwani wameongeza kwa kiwango kidogo tu. Iweje wabunge wao watake kujiongezea mamilioni?
Nikakumbuka sakata la kwetu hapa, maana lilikuwa linafanana sana na hili lakini lenyewe lilikuwa handled vice versa kabisaaaaa.....
kikwete hakuchaguliwa na watanzania aliiba kura. Kibaki naye aliiba ila yeye ana akili kidogo
Mkuu hapa ukiandamana utauawa na polisi...............na Ripoti itasema hukutii amri halaliHiii safi sana. Lakini mkuu hii pia ilitokana na nguvu ya umma. Jana watu wameandamana hadi kwenye viunga vya bunge kuwasuta wabunge. Naona na Kibaki akasoma alama za nyakati akaamua kufutilia mbali upandishaji wa mishahara/posho. Inapofika kwenye masuala ya hela humsikii Raila, Orengo, Kenyatta, Mudavadi, Ruto au Kalonzo. Nilimsikia tu Martha Karua akipiga kelele wengine kimya.
Wanasiasa wote inapofika suala la kuwanyonya wananchi basi huungana na kuanza kunyonya.
Hahahahaaa, lakini naona sasa hapa kwetu kila kitu tumekuwa tunaki politisize hata yale masuala ya msingi.
Walimu walipodai maslahi hapa kwetu waliambiwa ni siasa na pesa haziwezi kupatikana, madaktari hali kadhalika ikasemekana wanasukumwa na wanasiasa fulani wakaishia kufukuzwa kazi (baadhi yao)
Wabunge wakaongezewa kwa madai kwamba maisha yamekuwa magumu...........Dah comedy hizi za nchi hii!
Hiii safi sana. Lakini mkuu hii pia ilitokana na nguvu ya umma. Jana watu wameandamana hadi kwenye viunga vya bunge kuwasuta wabunge. Naona na Kibaki akasoma alama za nyakati akaamua kufutilia mbali upandishaji wa mishahara/posho. Inapofika kwenye masuala ya hela humsikii Raila, Orengo, Kenyatta, Mudavadi, Ruto au Kalonzo. Nilimsikia tu Martha Karua akipiga kelele wengine kimya.
Wanasiasa wote inapofika suala la kuwanyonya wananchi basi huungana na kuanza kunyonya.
tatizo hata hao wabunge wa upinzani tunao wategemea waliungana na serekali na sijasikia hata mmoja akipinga au akikataa nyongeza.
Hapo ndipo utapojua uongo na unafiki wa wanasiasa.
Siku zote maslahi yao kwanza then ya wengine, ni wataalam wa kusema wasiyotekeleza.
Utashangaa wanailaumu serekali kwa kutumia magari ya kifahari wakati wao pia wanayatumia na sijawahi kusikia hata mmoja akikataa na kutaka gari la bei nafuu na linalokunywa mafuta kidogo.
Kwa tanzania yetu, bado sana kuondoka kwenye umasikini.
Hiii safi sana. Lakini mkuu hii pia ilitokana na nguvu ya umma. Jana watu wameandamana hadi kwenye viunga vya bunge kuwasuta wabunge. Naona na Kibaki akasoma alama za nyakati akaamua kufutilia mbali upandishaji wa mishahara/posho. Inapofika kwenye masuala ya hela humsikii Raila, Orengo, Kenyatta, Mudavadi, Ruto au Kalonzo. Nilimsikia tu Martha Karua akipiga kelele wengine kimya.
Wanasiasa wote inapofika suala la kuwanyonya wananchi basi huungana na kuanza kunyonya.
Mkuu coz nao ni wabunge tu yaani kuwa mule ni kama kuna ka very contagious ugonjwa hivi kanawakumba woootetatizo hata hao wabunge wa upinzani tunao wategemea waliungana na serekali na sijasikia hata mmoja akipinga au akikataa nyongeza.
Hapo ndipo utapojua uongo na unafiki wa wanasiasa.
Siku zote maslahi yao kwanza then ya wengine, ni wataalam wa kusema wasiyotekeleza.
Utashangaa wanailaumu serekali kwa kutumia magari ya kifahari wakati wao pia wanayatumia na sijawahi kusikia hata mmoja akikataa na kutaka gari la bei nafuu na linalokunywa mafuta kidogo.
Kwa tanzania yetu, bado sana kuondoka kwenye umasikini.
Kibaki rejects MPs' Sh2bn send-off pay
The President objected to the amendment on the grounds that it was first unconstitutional and secondly untenable in the prevailing economic circumstances in the country. Photo|FILE|NATION MEDIA GROUP
By NATION TEAM newsdesk@ke.nationmedia.com
Posted Wednesday, October 10 2012 at 01:38
In Summary
- The amendment would have awarded the lawmakers a Sh2 billion send-off package on January 15 next year when their term expires.
- The President objected to the amendment on the grounds that it was first unconstitutional and secondly untenable in the prevailing economic circumstances in the country.
- The MPs secretly added the amendment on Thursday night in last minute changes amidst recent national strikes by doctors, lecturers and teachers.
President Kibaki on Tuesday night shattered the MPs dream of a Sh2 billion sweatheart send off when he declined to sanction the deal stating the country's economy was unable to shoulder an extra financial burden.
The Head of State refused to assent to the Finance Bill, 2012, saying that the country could not afford the colossal perks that the MPs had awarded themselves in form of a severance package. (READ: MPs award themselves Sh2bn bonus in secret deal)
"The President objected to the amendment on the grounds that it was first, unconstitutional and second, untenable in the prevailing economic circumstances in the country," a dispatch from State House Nairobi said.
Perhaps convinced by the countrywide protests at the arrangement, he stopped the hopes of MPs passing the amendments for a Sh9.3 million severance allowance in the Finance Bill, 2012-through which the Treasury hoped to raise Sh40 billion more in new tax measures-then the President would be forced to give it the nod.
But he signed into law amendments to electoral laws that extended the period to January 4, 2013 by which MPs should have identified a political party on which to vie for a seat in the next General Election.
A statement from State House said the President had objected to the Finance Amendment Bill (2012) because it was "unconstitutional and untenable."
"Coming shortly after the increment of salaries for teachers and doctors, the severance pay for Parliamentarians would lead to an unsustainable wage bill," said part of the statement which also argued that the huge payout would compel the government to forfeit other compelling programs.
This means that the lawmakers will now have to yield to the President's demands; or raise the two-thirds majority required to overturn the President's decision and force him to sign the Bill into law.
The MPs, being State Officers, had flouted the legal requirement to leave the issue of pay to the Salaries and Remuneration Commission.
They will also have to review the amendment that they approved to have all regulations by the Commission on Revenue Allocation and the SRC subjected to parliamentary approval.
This amendment had been designed to ensure that they had the final say to decide the pay.
Lately, the MPs have been unable to raise the requisite numbers. But MPs did not come out empty handed. The President okayed the amendment in the Elections Act to extend the period within which an aspirant should have chosen the political party on which to seek nomination and contest a political seat in the forthcoming general elections to January 4, 2013.
Prostesting move
Earlier, Kenyans had taken to the streets of Nairobi to protest against the move. They expressed their disapproval and described the lawmakers as "economic terrorists". (SEE IN PICTURES: Protest over MPs' bonus)
Mr Robert Alai, an activist with the Kenyans on Twitter and Facebook, urged President Kibaki not to sign the Bill through which the lawmakers awarded themselves the gratuity.
"The country is going through very hard economic times calling for more belt-tightening measures, but MPs are already overpaid and underworked yet they decide to award themselves Sh2 billion," he said.
The protesters waved banners with messages "We do not have money for greedy MPs" and "Kenyans against impunity" as they marched through the city centre to Parliament.
They chanted: "Hatutaki vitendawili" (We don't want proverbs).
Kibaki rejects MPs
Kuna anayefahamu kiasi wanachopata wabunge wa Kenya kabla ya kutaka kuongezewa?
kama wabunge wa kenya wanalipwa zaidi,basi ndio halali kwa wabunge wa Tanzania kujiongezea mishahara na posho hali watumishi wengine wa umma pamoja na walimu na madaktari ambao kipato chao ni kidogo wakipuuzwa.Ifike kipindi sasa viongozi wetu wamwogope Mungu na waache uwongo na waone aibu.siku za nyuma tuliambiwa kuwa serikali imeamua kukomesha suala la malimbikizo ya malipo ya watumishi wake,cha ajabu leo mamia ya walimu ktk halmashauri ya jiji la mwanza wanasotea kulipwa malimbikizo ya mishahara yao kwa miaka 4 sasa bila mafanikio wakati wabunge wakikohoa tu wanalipwa.wafanya biashara na wakulima hivi sasa wana hali ngumu, lkn serikali imeamua kuwajali zaidi wabunge kwa kigezo kuwa Dodoma kuna maisha magumuKikwete mnaumuonea buree; wabunge Kenya walipwa zaidi ya wabunge wa Marekani; kwenye huo mswaada pamoja na kujiongeza mishahara, bado kuna kipengele ukiwa mbunge ukishindwa utaendelea kulipwa kwa muda wote wa maisha yako; yaani jamaa ni noma