Kenyan gay couple file for divorce two years after wedding

Ritz, soemtimes ni vema kuchukua sheria kali hata kama dunia italalamika but others will learn a lesson na kuogopa, coz tafiti zinaonesha kuwa ni very negligible % ya watu hawa wanazaliwa walivyo but many are being made! I mean us..e na usagaji vinatengenezwa (mazingira) na hivyo vinaweza kuepukika. Sheria zinaweza kuwasaidia hao jamaa...of course na hofu ya Mungu ni nguzo nzuri kusaidia kuondokana na uchafu huu! Kwa bahati mbaya vipo vitabu na mitandao inafunidisha jinsi gani mwanaume ageuzwe nyuma pasipo kupata maumivu mara ya kwanza, au binti amsage mwenzie bila kuona aibu kwa mara ya kwanza....ni shida tupu!
Ukitumia sheria kali kwa watukama hawa dunia inalalamika.
 
Wanachoniudhi hawa mashoga ni kwamba wanahubiri tabia yao kama dini vile.Wana tabia moja, wakijisikia huru sana basi hawachelewi anza waambia watoto kuwa ni okay, kuvaa nguo za kike, kujipodoa, na baadaye kuwa kama wao.
Nasikitika kwamba hata wapinga ushoga, kuna sehemu wanaufanya wa kawaida sana kwa utani wafanyao, kwa kujisifu, kuwageuza wanawake nyuma, na hata kuwatazama, na wengine kujisifia kuwa wamewafanya.
Nadhani imefikia mahali tuweze weka wazi, kuwa tunaheshimu haki yao kuishi ila hatukubaliani na wala hatuuheshimu ushoga, na atakeyekutwa akiineza hali hiyo aadhibiwe..Mbona tunawaadhibu wauza unga na bangi ,ingawa hatuuwi mateja?
 
Wapumbavu kabisa.....bt this indicates the end of the world as holy books writes!!!!!be aware and rmember to pray so that God sticks with u...
 
what pigs

Gay Kenyan couple file for divorce 2 years after wedding





The Kenyan gay couple who two years ago made headlines around the world after their civil wedding in London are back in the limelight again, this time seeking a divorce.

Mr Daniel Chege Gichia confirmed that the divorce was filed by his civil partner, Mr Charles Ng’ang’a Wacera, alias Charles Ngengi months ago.

He said the court was expected to issue a decree nisi soon. Decree nisi is the first step towards the court recognition that a marriage has irretrievably broken down.

In the UK, if decree nisi is not challenged for six months by either couple, a final order — decree absolute — is issued and this legally brings the marriage to an end.

“I don’t know why the court’s ruling has taken this long. I am sure it will come out any time from now,” Gichia said.

If the divorce goes through, it will be Gichia’s second marriage having first married a Briton, Mr David Cleave. That union too broke down.




Read more »


 
saa hiyo upuzi yote na hata hawakuendeleana? why put your family through that stress kamtadivorce two years later??

watu hawana akili i swear
 
[h=3]Gay Kenyan couple file for divorce 2 years after wedding[/h]
The Kenyan gay couple who two years ago made headlines around the world after their civil wedding in London are back in the limelight again, this time seeking a divorce. Mr Daniel Chege Gichia confirmed that the divorce was filed by his civil partner, Mr Charles Ng’ang’a Wacera, alias Charles Ngengi months ago. He said the court was expected to issue a decree nisi soon. Decree nisi is the first step towards the court recognition that a marriage has irretrievably broken down. In the UK, if decree nisi is not challenged for six months by either couple, a final order — decree absolute — is issued and this legally brings the marriage to an end. “I don’t know why the court’s ruling has taken this long. I am sure it will come out any time from now,” Gichia said. If the divorce goes through, it will be Gichia’s second marriage having first married a Briton, Mr David Cleave. That union too broke down. Read more »
The lost people.Finally, wamejikuta ktk maisha yasiyo asili,wamejikuta kelee za wagonjwa wa akili waliotawaliwa na shetani ili kumdhalilisha Mungu.Sasa wanajikuta wamejinyima furaha zaidi ya walivyokuwa wkaijidanganya kuwa wameamua kuchagua maisha ya furaha na kuachana na unafiki na sababu nyingine za ubabaishaji na unafiki mkubwa.Huu ndio mwisho mbaya wa wa waliopotea,wanajikuta ktk njia isiyo sahihi, kelele zote sasa haoni waliokuwa wkaipiga kelele za kjinga kumpa moyo,na kumshikilia ktk dhambi,kufuru na upotofu mkubwa.Time haitopita hawa mashoga wengi sana wataanza kujitambua kujuta na kuwa movements za kupingana .Shetani haachi wadhalilisha walioamua kuzishika njia zake.Hata washirikina huabika mchana majoka yakitoka ndani,siasa kuwashinda, bishara kuanguka hadi kuwa vichaa...dunia ya mashoga haitochukua muda ,wataanza kujazana mahakamani kwa vichaa wenzao kuanza wanyonga,wachinja,etc km yule basha wa kiarabu aliyeamua kumuua mkewe wa ghana..kichaa hicho hicho kilichowafikisha ktk ushoga ndicho kitakachowafikisha kufanyiana ukatili ili kukimalizia kikombe cha laana.
 
Absolute nonsense couples info,we don't need such strange love affairs info
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom