Kenyan Elections 2007: Raila Au Kibaki

Nani anafaa kuwa rais wa nne Kenya?

  • Raila Odinga

    Votes: 17 94.4%
  • Mwai Kibaki

    Votes: 1 5.6%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .

Kenyan-Tanzanian

JF-Expert Member
Nov 7, 2006
302
2
Ikiwa imesalia takriban siku hamsini tu waKenya wachague wabunge, madiwani na Rais mpya nawaombeni kura ya maoni. Ungempigia nani? RAILA AU KIBAKI
 
Kenya Inahitaji kijana zaidi kama Raila na Musyoka. NI vizuri Mzee Kibaki akipumzika.
 
ukweli ni kwamba tumechoka na wazee lakini hawataki kuachia nafasi kwa vijana.Mzee kibaki kafanya mazuri ila umri ni tatizo amuachie Musyoka.
 
Raila anafaa kuwa Rais wa Kenya.Kalonzo sijui ni ukabila,tamaa au nini..maana alikuwa na kina Raila kwenye ODM.Kibaki..aachie ngazi.
 
Raila Juu....congratulations waliompigia kura hapa. Tunaomba aingie Ikulu tarehe 28/12/2008 wiki huu Ijumaa saa kumi kama Rais wa Nne wa Jamhuri ya Kenya
 
Jana Mheshimiwa Ruto aliwaeleza wananchi huko Changamwe kuwa wametayarisha basi liitwalo Othaya Express litakalompeleka Mzee Kibaki kwao.Bye bye Mzee...Bye bye Mama Lucy.Usisahau kuwatwanga makofi wajukuu.
 
A recount should be conducted by an independent person transparently and with close supervision from both parties and ultimately a recount to be done.
 
Wanainchi wa kenya waliamua kuwa Rais yao ni RAILA ODINGA,sijui kwa nini KIBAKI bado anakwamilia kiti na tulipea yeye 2002.Asante ya punda ni mteke
 
Mwai Kibaki ana uchu wa madaraka, hii ndiyo maana hataki kuachia ngazi na akaiba kura. Pili, Raila alitangaza kuwa atakapokuwa Rais, ataunda kamati ya kuchunguza mauaji lukuki yaliyofanyika ya viongozi waadilifu kama Tom Mbuya na wenzake.Akina Moi na wenzake wanahofia siri zao za kuwaua viongozi hawa sasa zitafuchuliwa na kuchukuliwa hatua za mauaji.Wanaogopa kushtakiwa, hivyo ndiyo maana wanan'ang'ania wakikuyu na swaiba wao Kalenjin, waendelee kubaki kwenye madaraka ili kuepusha Accountability and Transparency ku;lingana na fikra sahihi za Raila Odinga.Wakenya muwe macho, watu kama akina Mwai Kibaki watawapeleka pabaya.Kibaki si kiongozi mzuri.Ni dikteta kama Iddi Amin Dada wa Uganda.Lakini pia tuliona matokeo yake yalikuwa mabaya sana.Kibaki be careful kwa sababu wanakenya watakutwisha mzigo mzito wa mauaji ya watu easio na hatia, pamoja na kuua Demokrasia nchini Kenya.Hata akm asi leo au kesho , lakini iko siku lazima familia yako itakuwa responsible kwa unyama unao fanya sasa.Historia itaeleza mambo yote hadharani.
 
Raila Odinga Yuko Juu Huyu Mwaya Kabaka(kibaki)hana Jipya Zaidi Yautapeli Kama Ule Ambao Huwa Tunafanyiwa Na Chama Cha-ccm Yaani Chukua Chako Mapema.
Mageuzi Yakweli Kenya Yataletwa Na Odm.
By Ng`wananogu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom