Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,073
- 79,124
umeingia thread za kisiasa! Ulikuwa unaponda viwanja vyetu sikiliza ur aviation officials waki-testify ubora wa facilities at our Airports! the guy is an architect!Kuanguka kwa Demokrasia Tanzania: U-Magufuli na mabadiliko yasiyo na baraka za Watanzania
Kwenye viunga vya wasomi na wanasiasa, wachambuzi na wanaharakati hili jambo linaendelea kujadiliwa sana. Katika dhamira ya kuleta mabadiliko Rais Magufuli anaonekana kuwa na dhamira lakini amekosa wapi na lipi ashike. Amekosa mipango ambayo ingeihakikishia Tanzania mabadiliko aliyokusudia...www.jamiiforums.com
umeingia thread za kisiasa! Ulikuwa unaponda viwanja vyetu sikiliza ur aviation officials waki-testify ubora wa facilities at our Airports!
Hahahaha, mumeanza kuisoma namba sio?, ile kauli ya JKIA is the biggest Airport imeishia wapi?Miradi mingi ya Magufuli haina tija? Ni white elephant?
Wanandugu. Serikali ya awamu ya 5 imejipambanua kama ya wanyonge na imekuja na miradi lukuki inayotafuna mabilioni ya pesa za walalahoi, lakini miradi hii haina na wala haionyeshi dalili ya kuwa na tija yoyote huko mbeleni. miaka mitano hiyo inakatika tunapigwa porojo lakini mabilioni...www.jamiiforums.com
Miradi mingi ya Magufuli haina tija? Ni white elephant?
Wanandugu. Serikali ya awamu ya 5 imejipambanua kama ya wanyonge na imekuja na miradi lukuki inayotafuna mabilioni ya pesa za walalahoi, lakini miradi hii haina na wala haionyeshi dalili ya kuwa na tija yoyote huko mbeleni. miaka mitano hiyo inakatika tunapigwa porojo lakini mabilioni...www.jamiiforums.com
Hahahaha, hahahaha.
Naomba urudie kale kawimbo kazuri kanakosema "JKIA is the biggest Airport in East Africa", nimekakumbuka sana. Hahahaha, hahahaha.Miradi mingi ya Magufuli haina tija? Ni white elephant?
Wanandugu. Serikali ya awamu ya 5 imejipambanua kama ya wanyonge na imekuja na miradi lukuki inayotafuna mabilioni ya pesa za walalahoi, lakini miradi hii haina na wala haionyeshi dalili ya kuwa na tija yoyote huko mbeleni. miaka mitano hiyo inakatika tunapigwa porojo lakini mabilioni...www.jamiiforums.com
Naomba urudie kale kawimbo kazuri kanakosema "JKIA is the biggest Airport in East Africa", nimekakumbuka sana. Hahahaha, hahahaha.
ata terminal II is being renovated! the guy is an architect na yupo na wenzie nita-post more videos! Na hata kama wako under EAC still haiondoi Ukenya wao!Huyo jamaa
Acha ushamba wa kupotosha watu, huo ni mkutano ambao hua unazunguka nchi za EAC, next year utakuta uko Kigali baada ya hapo uende Entebe....alafu uje Nairobi...
Alafu huyo Martin Tairo ambaye Babayao255 anaweka tweet zake ni mfanyikazi wa Taita Taveta County ambayo ni county inapakana na Tz.... kusifia kwake kwa Terminal 3 ya TZ ni kwasababu alishuka hapo kwa Terminal mpya.... Kama angeshukishwa kwa terminal za kitambo hapo JNIA hangesema hayo...
Ni kama vile huku Kenya ukiwa we ni mgeni na utumia Terminal 1A pale JKIA utaisifia sana hio airport, lakini ukitumia zile Terminal za kitambo habari itakua ni tofauti
Kwahiyo unataka kusrmaje??Huyo jamaa
Acha ushamba wa kupotosha watu, huo ni mkutano ambao hua unazunguka nchi za EAC, next year utakuta uko Kigali baada ya hapo uende Entebe....alafu uje Nairobi...
Alafu huyo Martin Tairo ambaye Babayao255 anaweka tweet zake ni mfanyikazi wa Taita Taveta County ambayo ni county inapakana na Tz.... kusifia kwake kwa Terminal 3 ya TZ ni kwasababu alishuka hapo kwa Terminal mpya.... Kama angeshukishwa kwa terminal za kitambo hapo JNIA hangesema hayo...
Ni kama vile huku Kenya ukiwa we ni mgeni na utumia Terminal 1A pale JKIA utaisifia sana hio airport, lakini ukitumia zile Terminal za kitambo habari itakua ni tofauti
Kwa hiyo unataka kutuambia nini 😂😂😂Huyo jamaa
Acha ushamba wa kupotosha watu, huo ni mkutano ambao hua unazunguka nchi za EAC, next year utakuta uko Kigali baada ya hapo uende Entebe....alafu uje Nairobi...
Alafu huyo Martin Tairo ambaye Babayao255 anaweka tweet zake ni mfanyikazi wa Taita Taveta County ambayo ni county inapakana na Tz.... kusifia kwake kwa Terminal 3 ya TZ ni kwasababu alishuka hapo kwa Terminal mpya.... Kama angeshukishwa kwa terminal za kitambo hapo JNIA hangesema hayo...
Ni kama vile huku Kenya ukiwa we ni mgeni na utumia Terminal 1A pale JKIA utaisifia sana hio airport, lakini ukitumia zile Terminal za kitambo habari itakua ni tofauti