Kenya yatia rekodi mpya kwenye ukusanyaji wa kodi na kufikisha KSh1.114 trillion

Hebu naomba utiririke kitaalam na kudhihirisha kuwa SGR ina harufu ya rushwa na ufisadi. Tatizo nyie hukaririshwa kama kwaya kanisani.
Nilikwambia kuwa kama unataka mtiririko huo wa rushwa unoge basi ufungulie uzi! Lakini naona hutaki unafungua nyuzi za kusifia tu nchi yako! Kufanya mjadala kama huo kwenye uzi mwingine ni kubaka maana ya uzi!

Sisi kama tulitoa hizo shutuma, anzisha uzi utuite tuje tujadili kwa kina huko!
 
Oya hii hapa ni ya miezi 11 hivyo bado mwezi mmoja tuliza.

Serikali yenyewe wamekiri katika miezi hiyo 11 wameshindwa kufika lengo kwa 6.27%, kama wanataka kufika lengo lazima wapate Kshs 290 billion. Mwaka wa uchaguzi huu, hiyo hela itatoka wapi?
 
Bro, yani uko cock sure that kila mradi ya maendeleo, hata kabarabara ya 2km inajengwa kwa pesa ya kukopa? Hebu kuwa serious na uache kuongea ujinga!
Ni wapi uliskia upuzi aina hii?

KURA na KRRA ni idara mbili chini ya wizara ya barabara yanayofadhiliwa na pesa za serikali ya Kenya, sio mikopo.

Mikopo Kenya imechukua kufadhili zile projects kubwa kubwa.

Kama una evidence kuhusu haya madai yako, yatoe. Lakini sio kukurupuka kipuzzi namna hii!

Kitu gani kimefanya deni lenu la taifa kukua kwa kasi ya ajabu tangu 2013? Pesa mlizokopa mnafanyia nini? Kwa makusanyo hayo ilibidi muwe mnajitosheleza kwa miradi mingi bila kukopa.
 
Duniani hakuna bajeti inayozidi 50% kwenye maendeleo sana sana itakuwa 45%. Hii muulize mwanauchumi yeyeto no need to research. Hiyo nchi duniani hakuna. Ikiwa hivo basi wasimamizi wa maendeleo hawato kuwepo. So it is true 50% nazaidi uenda kwenye mishahara na matumizi mengine ya wafanyakazi
Tumia muda wako kaka kujielimisha kuhusu bajeti yetu, haina maana utoe tamko ambalo hujalifanyia uchunguzi wala utafiti, kwa taarifa yako barabara nyingi tumegharamia kwa hela zetu, jadili mada kitaalam, takwimu kwa takwimu.

Halafu kama jinsi tumejaribu kuwaelimisha, kwamba miradi ambayo ipo kwenye ratiba ni mingi kiasi ambapo lazima tukope, hamna nchi yoyote dunia hii isiyokua na mikopo. Juzi hapo kwenu mumeongeza mkopo kwenye kupanua bandari, huwa hamulioni likiwa kwenye macho yenu.
 
Nilikwambia kuwa kama unataka mtiririko huo wa rushwa unoge basi ufungulie uzi! Lakini naona hutaki unafungua nyuzi za kusifia tu nchi yako! Kufanya mjadala kama huo kwenye uzi mwingine ni kubaka maana ya uzi!

Sisi kama tulitoa hizo shutuma, anzisha uzi utuite tuje tujadili kwa kina huko!

Kwani wewe umetokea sayari gani maana hili la SGR tulilijadili humu takwimu kwa takwimu Wabongo mkaishia kubeza tu.
Subiri nikipata fursa nitalianzisha au nifukue hizo nyuzi.
 
Sasa kwa nini mnashindwa kuongezea nurses mishahara. Bado kunatatizo hapo.Sisi huku kuna watu wameongexews mishahara kwa 100% yamishahara ya mwanzo
Hili kwa kweli ni jambo la kutia moyo maana likija kwenye suala la uzalendo, Wakenya tupo mbele, tatizo ni viongozi wanatuangusha tu. Hongera kwa kila mlipa kodi, japo KRA hawakufikisha malengo lakini kilichosalia kitakusanywa kwa mwezi mmoja uliobakia.

Kuna wadau humu ndani walibashiri kuipita Kenya ndani ya mwaka mmoja, sasa ikiwa makusanyo yetu ya kodi ni sawia na ukiunganisha na kujumuisha bajeti za nchi kadhaa EAC, hapo inakuakuaje........

----------------------------------------------------------------------------------------------------

Total tax collections in 11 months ended May 31 reached a record Sh1.114 trillion, official exchequer data shows, a growth of 12.77 per cent over Sh987.85 billion collected in the same period last year.

The Kenya Revenue Authority will, however, have to collect Sh153 billion this month to hit the revised full-year target of Sh1.267 trillion set by the National Treasury.

The taxman missed the Sh1.161 trillion target for 11 months on pro rata basis by 4.05 per cent, despite netting Sh124.06 billion in May since collections for the July-April period were Sh989.94 billion.

The Statement of Actual Revenue and Net Exchequer Issues, published by the Treasury CS Henry Rotich in the Kenya Gazette on Friday, shows that total government revenue between July 2016 and May 2017 hit Sh1.764 trillion.

That was a 9.98 per cent growth compared with Sh1.588 trillion a year ago.

The Treasury has a full-year revenue target of Sh2.054 trillion for 2016-17 – meaning the government will have to find some Sh290 billion this month to hit the target, having missed it by 6.27 per cent in 11 months ended May 31.

Tax collections accounted for 63.15 per cent of the total revenue generated by the government in the review period.
Non-tax income rose by 24.70 per cent year-on-year in the 11 months to Sh41.90 billion, but hugely under-performed a target of Sh95.61 billion on a pro-rated basis, given the full-year target of 104.30 billion.

Commercial loans to the government surpassed the revised Sh186.04 billion target for 12 months to stand at Sh186.30 billion in 11 months ended May 31 – Sh111.97 billion more than the Sh74.33 billion borrowed the year before. The target was revised upwards from Sh153.78 billion in the printed budgetary estimates.

“Following Kenya’s elevation to lower middle income economy status in September 2014, recourse to borrowing on commercial and semi-concessional terms has increased while that on concessional terms has declined,” the Central Bank of Kenya said in the quarterly Economic Review for October-December released on April 18.

Net domestic debt was Sh312.01 billion in the review period, 19.65 per cent shot of the Sh388.34 billion on a pro rata basis which reflects the decision by the CBK to reject “expensive” debt offers.

The full-year target from domestic borrowing is Sh423.65 billion.

Grants from the peacekeeping African Union Mission in Somalia rose by 21.44 per cent to Sh5.21 billion from Sh4.29 billion the year before. The Treasury targets Sh6.44 billion from Amisom by end of the month.

Other sources of revenue included loans from foreign governments and international organisations at Sh24.93 billion, 10.06 per cent more than Sh22.65 billion last year.

KRA nets a record Sh1.114tn in 11 months but misses target
 
Mimi nachojua kwa sasa kuna shifting of the economy
cf960460d00b979518676922f175b217.jpg
f53ed9f85ceb77d87e2edb50b8dbc04e.jpg
98cd99aaac83ae6cd559f0287c813424.jpg
 
Great news ....in 10yrs ae will have collected close to 150bn$ for development assuming it remains constant probably 200bn$ in 12yrs

We just need people driven poicies that will benefit Kenyans

Cause in the same 10yrs we will have read a collective 300bn$ + budget or thereabout!!

Wooow Kenya 10yrs from now will be something else
 
Kweli kenyans ni bure kabisa.
Na mtaongopewa sana
Kaskazini wanakufa njaa unaongelea mapato ebu taja vyanzo vya hayo mapato.
Maaana naskiaga hata mikopo kwenu ni mapato
 
Kwani wewe umetokea sayari gani maana hili la SGR tulilijadili humu takwimu kwa takwimu Wabongo mkaishia kubeza tu.
Subiri nikipata fursa nitalianzisha au nifukue hizo nyuzi.
Whether Neptune or Jupiter, twende na mada!
 
Hili kwa kweli ni jambo la kutia moyo maana likija kwenye suala la uzalendo, Wakenya tupo mbele, tatizo ni viongozi wanatuangusha tu. Hongera kwa kila mlipa kodi, japo KRA hawakufikisha malengo lakini kilichosalia kitakusanywa kwa mwezi mmoja uliobakia.

Kuna wadau humu ndani walibashiri kuipita Kenya ndani ya mwaka mmoja, sasa ikiwa makusanyo yetu ya kodi ni sawia na ukiunganisha na kujumuisha bajeti za nchi kadhaa EAC, hapo inakuakuaje........

----------------------------------------------------------------------------------------------------

Total tax collections in 11 months ended May 31 reached a record Sh1.114 trillion, official exchequer data shows, a growth of 12.77 per cent over Sh987.85 billion collected in the same period last year.

The Kenya Revenue Authority will, however, have to collect Sh153 billion this month to hit the revised full-year target of Sh1.267 trillion set by the National Treasury.

The taxman missed the Sh1.161 trillion target for 11 months on pro rata basis by 4.05 per cent, despite netting Sh124.06 billion in May since collections for the July-April period were Sh989.94 billion.

The Statement of Actual Revenue and Net Exchequer Issues, published by the Treasury CS Henry Rotich in the Kenya Gazette on Friday, shows that total government revenue between July 2016 and May 2017 hit Sh1.764 trillion.

That was a 9.98 per cent growth compared with Sh1.588 trillion a year ago.

The Treasury has a full-year revenue target of Sh2.054 trillion for 2016-17 – meaning the government will have to find some Sh290 billion this month to hit the target, having missed it by 6.27 per cent in 11 months ended May 31.

Tax collections accounted for 63.15 per cent of the total revenue generated by the government in the review period.
Non-tax income rose by 24.70 per cent year-on-year in the 11 months to Sh41.90 billion, but hugely under-performed a target of Sh95.61 billion on a pro-rated basis, given the full-year target of 104.30 billion.

Commercial loans to the government surpassed the revised Sh186.04 billion target for 12 months to stand at Sh186.30 billion in 11 months ended May 31 – Sh111.97 billion more than the Sh74.33 billion borrowed the year before. The target was revised upwards from Sh153.78 billion in the printed budgetary estimates.

“Following Kenya’s elevation to lower middle income economy status in September 2014, recourse to borrowing on commercial and semi-concessional terms has increased while that on concessional terms has declined,” the Central Bank of Kenya said in the quarterly Economic Review for October-December released on April 18.

Net domestic debt was Sh312.01 billion in the review period, 19.65 per cent shot of the Sh388.34 billion on a pro rata basis which reflects the decision by the CBK to reject “expensive” debt offers.

The full-year target from domestic borrowing is Sh423.65 billion.

Grants from the peacekeeping African Union Mission in Somalia rose by 21.44 per cent to Sh5.21 billion from Sh4.29 billion the year before. The Treasury targets Sh6.44 billion from Amisom by end of the month.

Other sources of revenue included loans from foreign governments and international organisations at Sh24.93 billion, 10.06 per cent more than Sh22.65 billion last year.

KRA nets a record Sh1.114tn in 11 months but misses target
Hiyo pesa yote itapotelea kwenye Matumbo makubwa ya Wakikuyu na Wakalenjini.
 
Great news ....in 10yrs ae will have collected close to 150bn$ for development assuming it remains constant probably 200bn$ in 12yrs

We just need people driven poicies that will benefit Kenyans

Cause in the same 10yrs we will have read a collective 300bn$ + budget or thereabout!!

Wooow Kenya 10yrs from now will be something else
Tax collections haiwezi kuwa constant kwa miaka yote hyo 12 as u suggest!

Sera zinabadilika kila mwezi! So far tegemea kupungua kwa kiasi hicho hata mwezi ujao hadi baada ya uchaguzi!

Wakati wa ichaguzi lazima mapato yashuke tu
 
Hawa jamaa huwa na Vioja sana,
Hata Nigeria wana GDP ya 520bn,
Yaani 8times Kenya's but they have nothing to show, Just Like you Kenyans boasting in here n yet you can only show us Chinese sub standard & overpriced projects
 
Back
Top Bottom