Kenya yapunguza tozo ya Mafuta kwa nusu bei, lengo kuhakikisha bandari ya Dar haitumiwi na nchi zisizo na bahari kupitishia mafuta

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
#Kenya imepunguza tozo za uingizaji mafuta nchini humo kwa 50% ili kuwavutia wafanyabiashara kutoka nchi zisizo na bandari ambazo sasa wanatumia Bandari ya Dar. Tozo mpya itakuwa ni $30.89 (TZS 71,161) kwa lita 1,000, kutoka $60 (138,222) kwa kiasi hicho hicho cha mafuta.

Tozo hiyo inayokusudiwa kuchapishwa kwenye gazeti la serikali itapungua kufika $30.65 mwaka 2020, na $29.07 mwaka 2021.
FB_IMG_1572546423874.jpg
 
Majaribu Mengine Kwenye Kitega Uchumi Kikuu Cha Wa Nchi Naamini Litafanyiwa Kazi Mapema Tusije Kukosa Meli Kama Mwaka 2016 Ilivyotokea.
 
Since Kenya was put in the corner by Magufuli's leadership once n for all, at least now they show maximum respect to this mighty country. I hope they will continue to observe the same level of respect for many years to come!
 
Economic war is like any other war. Tunaona what is happening between China na US. US na India.

Bila shaka TRA watakuwa na flexibility tusipoteze biashara za mzigo unaopitia Dar Port, Tanga Port na Mtwara
 
Since Kenya was put in the corner by Magufuli's leadership once n for all, at least now they show maximum respect to this mighty country. I hope they will continue to observe the same level of respect for many years to come!
Tanzania haina nafasi ya pekee kama unavyofikiria. Ujue kuwa kuna bandari za Beira na Pemba ambazo mataifa kama Zambia, Malawi na Kusini Mashariki DRC wanazitumia.
 
Tanzania haina nafasi ya pekee kama unavyofikiria. Ujue kuwa kuna bandari za Beira na Pemba ambazo mataifa kama Zambia, Malawi na Kusini Mashariki DRC wanazitumia.
Ila we jamaa sijawahi kuona hata siku moja kuizungumzia jambo zuri Tanzania.
 
Back
Top Bottom