Kenya yapitwa mara mbili na Tanzania katika mobile money transactions

Naton Jr

JF-Expert Member
Oct 5, 2016
7,868
19,258
Kenya yapitwa mara 2 mobile money transactions na Tanzania

🇹🇿 Mobile money transactions 7️⃣▫️8️⃣ USD BILLION

🇰🇪 Mobile money transactions 4️⃣▫️2️⃣ USD BILLION

Halafu hapo bado hatujaweka bank accounts to bank accounts transactions ambazo ndio huwa kubwa kubwa zaidi

Hii ndio inaleta picture halisi ya uchumi wa nchi, huwezi kupika data za GDP za uongo wakati watu wanakufa njaa, huwezi kusema una uchumi mkubwa wakati biashara yako mtaji ni pesa mbuzi.

Tanzania ndio superpower ukanda huu hilo lipo wazi.

Screenshot_20210126-215546.png
Polish_20201122_050419600.jpg


 
Halafu kipindi cha lockdown ilifaa miamala iwe kwa kiwango cha juu maana hakuna kukutana ana kwa ana.

Sijui imekaaje hiyo!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom