Kenya yapitwa mara mbili na Tanzania katika mobile money transactions

Nikweli Tanzania Inakodi Ndogo Sana
Hiyo 80 BL nikwa Mwezi
Inamaana Nizaidi ya 900BL kwa Mwaka
Kodi hii ndio inafanya Vifurushi Kuwa nafuu sana Tanzania na Bado Serikali Mwezi Ujao Inakuja na Kitu kipya kwenye Vifurushi Kupunguza Zaidi
Yes hiyo ndio maana ya nchi.
 
Sasa unapingana na data?acha kuishi kimazoea

Hehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
 
Hehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Ukishakejeli hua unafaidi nn?uzembe uzembe tu
 
Hehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Tunatoa takwimu za 2021 wewe unaleta za mwaka Jana. Ama kweli umerogwa.
 
Tunatoa takwimu za 2021 wewe unaleta za mwaka Jana. Ama kweli umerogwa.

Wewe umedandia na kunogewa bila hata kuelewa nini kinazungumzwa kuhusu....
Mumetoa takwimu za 2021 na kulinganisha na takwimu za Kenya za 2020
Mimi nimelinganisha takwimu za Tanzania mwezi huo mlioweka za Kenya.
Za Kenya zikitolewa za 2021 na pia za Tanzania zitolewe rasmi za 2021 ndio tulinganishe.....kwa sasa endeleei na nyeto.
 
Mobile Money Transaction inatumika sana kwa nchi maskini sana na watu maskini sana..
kwa takwimu hizo basi ni wazi Tanzania watu maskini wameongezeka sana. kwa sababu pesa zinazotumika kwenye mobile transaction pesa ndogo ndogo sana..
 
Tanzania Mobile Operator Partner With Online Money Transfer Provider TOPICS:Mobile Money DECEMBER 19, 2019 Mobile operator Vodacom Tanzania has partnered with online money transfer service WorldRemit to enable its mobile money customers to receive money from abroad directly to their M-Pesa wallets. WorldRemit is a global provider of transfers to mobile money accounts and is connected to over 160 million accounts across 29 countries. The company also offers bank transfer, cash pickup, and mobile airtime top-up to Tanzania. Vodacom Tanzania M-Pesa Director Epimack Mbeteni said: “This new partnership with World Remit enables us to tap into the remittances coming into Tanzania every year. It will increase the ease and ability for families and friends in Tanzania to receive money through M-Pesa from across the world and benefit from our extensive footprint of over 106,000 M-Pesa agents across the country plus our diverse ecosystem of banks, businesses, and merchants connected to M-Pesa.” According to the World Bank (WB), African immigrants sent USD 38 billion back home in 2017 and are forecast to hit around USD 39.6 billion this year. World remittances to Tanzania are mostly done through banks. “This partnership offers an easier and cheaper alternative to receiving cash from abroad by cutting the transaction process meaning families receive more of the money straight into their M-Pesa wallets” Epimack added. According to the WB, the average cost of sending £120 (USD 155) from the UK to Tanzania is almost 9.5%. WorldRemit fees for the same amount start below 2%. On her side, WorldRemit’s Regional Director for East and Central Africa Sharon Kinyanjui said that the move will reduce sending charges to countries like the US, UK, Sweden, and South Africa as all transactions are digital. RELATED: Tanzania Reaches 55% Financial Inclusion Thanks To Mobile Money Tanzania Mobile Money According to the latest Quarterly Communications Statistics of the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) of June 2019, there are a total of almost 23 million registered mobile money accounts in the country. In the month of June 2019, there were more than 260 million mobile money transactions for a total value of TZS 8.3 quadrillion (USD 3.6 trillion).

Read more at: Tanzania Mobile Operator Partner With Online Money Transfer Provider - TanzaniaInvest and follow us on www.twitter.com/tanzaniainvest
 
Nikweli Tanzania Inakodi Ndogo Sana
Hiyo 80 BL nikwa Mwezi
Inamaana Nizaidi ya 900BL kwa Mwaka
Kodi hii ndio inafanya Vifurushi Kuwa nafuu sana Tanzania na Bado Serikali Mwezi Ujao Inakuja na Kitu kipya kwenye Vifurushi Kupunguza Zaidi
Sasa si itakua sawa na bure?
Ila naona kwa sasa mitandao ya simu inapata sana pesa kupitia internet na mobile cash, dakika na sms hazilipi tena
 
Tunapambana tulikua pabaya sana tunajikaza

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Wakati wa JK mlikua mnakuja kwa kasi, niwe mkweli wakati huo niliwaona mkijongea jongea, yaani mpaka kuna siku ukuaji ulichezea kwenye 8.3% huku Kenya ikiwa sijui 4.7%
Lakini kwa zama hizi za leo za kutumbuana na makelele mengi sioni kabisa, namba zenu hazisomi ukiondoa makelele ya kampeni twende kwenye uhalsia wa takwimu, mumeganda sana.
 
Wakati wa JK mlikua mnakuja kwa kasi, niwe mkweli wakati huo niliwaona mkijongea jongea, yaani mpaka kuna siku ukuaji ulichezea kwenye 8.3% huku Kenya ikiwa sijui 4.7%
Lakini kwa zama hizi za leo za kutumbuana na makelele mengi sioni kabisa, namba zenu hazisomi ukiondoa makelele ya kampeni twende kwenye uhalsia wa takwimu, mumeganda sana.
Sasa kwa taarifa yako hakuna pres alietuchoma kama yule mkwere
 
Wewe umedandia na kunogewa bila hata kuelewa nini kinazungumzwa kuhusu....
Mumetoa takwimu za 2021 na kulinganisha na takwimu za Kenya za 2020
Mimi nimelinganisha takwimu za Tanzania mwezi huo mlioweka za Kenya.
Za Kenya zikitolewa za 2021 na pia za Tanzania zitolewe rasmi za 2021 ndio tulinganishe.....kwa sasa endeleei na nyeto.
Nyeto ni nini!? Inaelekea unapenda sana nyeto.
 
Hehehe acheni kujipiga nyeto na takwimu za kuokoteza, Tanzania ipite Kenya mara mbili kwa money transactions??? Kha basi JF haitakua na maana tena, maana humu huwa nakuja tu ili kuwakejeli Wabongo, huwa sina kusudi lingine, sasa itokee mtushinde mara mbili basi haitakua na maana tena humu hehehe
Hizi hapa taarifa zenu rasmi kwa hicho hicho kipindi ambacho mumesema Kenya Tanzania Mobile Money Transactions Reached Record Value of 4.9bn USD in September 2020 - TanzaniaInvest
Kumbe basi ni trending inayoeleweka, sababu kama September 2020 tulifika dollars billion 5 haishangazi kuona 2021 tupo na billion 8, kimahesabu inaleta mantiki

Leteni zenu za 2021 tukate mzizi wa fitina
 
Back
Top Bottom