joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
Kwa akili tu ya kawaida watalii wenye faida ni kutoka nje. Sisi tuliowatumia Steve Nyerere na Ebitoke hebu tuambie tumeongeza watalii kiasi gani?
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
Mtegemea cha watu na kudharau watu wake ni mtu mpumbavu, hadi sasa Tanzania inaongoza East Africa katika mapato ya utalii.Kwa akili tu ya kawaida watalii wenye faida ni kutoka nje. Sisi tuliowatumia Steve Nyerere na Ebitoke hebu tuambie tumeongeza watalii kiasi gani?
Yule msauzi wenu vipi, au na nyie mumeshaanza kujithamini tena
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
Dhibitisha.Mtegemea cha watu na kudharau watu wake ni mtu mpumbavu, hadi sasa Tanzania inaongoza East Africa katika mapato ya utalii.
Wajinga sana ninyi, nithibitishe nini hapo?, kwamba mwenyekudharau watu wake ni mpumbavu au kwamba Tanzania inaongoza East Afrika kwa mapato ya utalii?. Wajinga sana ninyi, kati ya hayo mawili kuna mtu asiyeyajua hadi kuomba uthibitisho kwa mambo yaliyo "obvious" kama hayo?
Hivi mnajisikiaje kuwakilishwa na mtu ambaye sio raia wa nchi yenu wakati mnaye raia ambaye ni International figure kama Lupita?, nani aliyekuambia kwamba Eliud Kipchoge hawezi kuwa balozi wa utalii wa ndani na International kwa pamoja?Acheni upumbavu wa kukuza vitu visivyokuwa na tija. Eliud Kipchoge tayari ni 'Destination Ambassador' wa Magical Kenya tangia mapema mwaka uliopita. Majukumu yake ni pamoja na kukuza brand Magical Kenya nchini, ndani ya ukanda huu, barani Afrika na kimataifa pia. >>> Eliud Kipchoge unveiled as Kenya’s tourism ambassador Naomi Campbell amepewa jukumu la ubalozi wa Magical Kenya kimataifa. Hata mlazimishe kwa nguvu zote hamna hizo akili za kutupangia. Nyie mkitaka kumteua Kingwendu sawa, hatuna huo muda wa umbea umbea .
Sasa, kwani Kipchoge sio balozi wa utalii wa ndani, ukanda huu na kimataifa pia? Tatizo lako ni lipi haswa? Ni kwamba ulidrop out ukiwa darasa la tatu au? Maanake ukisoma comment yangu utaona nimeeleza kuhusu suala hilo tena kwa lugha simpo sana. Tena zaidi ya yote kuna hadi link ya taarifa hapo ambayo inaeleza wazi kwamba hayo ndio majukumu ya Kipchoge kama balozi. NairobiWalker jionee mwenyewe, sio kwamba wanaigiza. These niggas be dumb as rocks!Hivi mnajisikiaje kuwakilishwa na mtu ambaye sio raia wa nchi yenu wakati mnaye raia ambaye ni International figure kama Lupita?, nani aliyekuambia kwamba Eliud Kipchoge hawezi kuwa balozi wa utalii wa ndani na International kwa pamoja?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
Wewe huna uwezo wa kufikiria kama kawaida ya wakenya mlivyo, tatizo ni kwanini mnatumia watu wa nje wakati kuna wakenya kibao wenye uwezo wa kufanya hiyo kazi, wewe umekazania Kepchoge wakati nimemtaja Lupita ambaye kwa sasa yupo juu sawa na huyo bibi Naomi.Sasa, kwani Kipchoge sio balozi wa utalii wa ndani, ukanda huu na kimataifa pia? Tatizo lako ni lipi haswa? Ni kwamba ulidrop out ukiwa darasa la tatu au? Maanake ukisoma comment yangu utaona nimeeleza kuhusu suala hilo tena kwa lugha simpo sana. Tena zaidi ya yote kuna hadi link ya taarifa hapo ambayo inaeleza wazi kwamba hayo ndio majukumu ya Kipchoge kama balozi. NairobiWalker jionee mwenyewe, sio kwamba wanaigiza. These niggas be dumb as rocks!
MY TAKE: Taifa lisilothamini na kuwaamini watu wake ni "Failed state".
My brother, never ever side with the enemy when we talk about family business- in Michael cerleone's voice.Kwa akili tu ya kawaida watalii wenye faida ni kutoka nje. Sisi tuliowatumia Steve Nyerere na Ebitoke hebu tuambie tumeongeza watalii kiasi gani?