Kenya yakumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya kupimia Corona

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Kenya lacks enough Covid-19 testing kits, says Jubilee MP
Wakati Kenya ikiripoti ongezeko kubwa la maambukizi ya Corona na vifo kufikia watu 2, tatizo la upungufu wa vifaa vya kupimia watu wenye kutiliwa shaka linaweza kusababisha maambukizi kuongezeka kwa kasi zaidi

Tunaomba zile pesa zilizopatikana kwa kupunguza mishahara ya wafanyakazi mbalimbali, na pesa zilizopatikana kutokana na mikopo iliyochukuliwa ili kukabiliana na hili janga, haraka sana zitumike kununulia hivyo vifaa.

Pia tunaomba serikali yetu ya Tanzania ianze kufikiria kutusaidia hizi nchi za EAC, ambazo inaonekana wazi kwamba zinaanza kuelemewa na hili tatizo. Kasi ya maambukizi katika nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ni kubwa Sana, sidhani Kama Tanzania tutabaki salama tusipowasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya lacks enough Covid-19 testing kits, says Jubilee MP
Wakati Kenya ikiripoti ongezeko kubwa la maambukizi ya Corona na vifo kufikia watu 2, tatizo la upungufu wa vifaa vya kupimia watu wenye kutiliwa shaka linaweza kusababisha maambukizi kuongezeka kwa kasi zaidi

Tunaomba zile pesa zilizopatikana kwa kupunguza mishahara ya wafanyakazi mbalimbali, na pesa zilizopatikana kutokana na mikopo iliyochukuliwa ili kukabiliana na hili janga, haraka sana zitumike kununulia hivyo vifaa.

Pia tunaomba serikali yetu ya Tanzania ianze kufikiria kutusaidia hizi nchi za EAC, ambazo inaonekana wazi kwamba zinaanza kuelemewa na hili tatizo. Kasi ya maambukizi katika nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ni kubwa Sana, sidhani Kama Tanzania tutabaki salama tusipowasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania mnavyo?
 
Na three days ago 20,000 kits from Jack Ma foundation ziliingia,
Iyo uhaba iko wapi sasa?
Ni venye Tanzania hawafanyi Testing so wanadhani wako na oversupply.😂😂.
Alafu ukumbuke Kenya tunafaa kuanza mass testing leo ama kesho within Nairobi.
 
Ni venye Tanzania hawafanyi Testing so wanadhani wako na oversupply.😂😂.
Alafu ukumbuke Kenya tunafaa kuanza mass testing leo ama kesho within Nairobi.
Tanzania imeshatest zaidi ya watu million 1 mpaka saivi kwenye maeneo tofauti ya usafiri na case ndio hizo 13 tu.
 
Nashangaa ulivyo mjinga kudhani kuwa kuna nchi yoyote ile imejitosheleza kwa testing kits.As we speak there is a global shortage .
Global shortage of coronavirus testing kits critical: Experts
Hivi kwanini wewe huna akili kiasi hiki?, kwahiyo kwasababu duniani kuna upungufu wa vifaa haliwi tatizo Kenya kuwa na upungufu?, kwa maana hiyo sio tatizo idadi ya wenye Corona ikiwa inaongezeka eti kwasababu duniani kote idadi pia inaongezeka, kwako wewe sio tatizo wakenya kufa kwa Corona kwasababu duniani kote watu wanakufa kwa Corona. Huna akili wewe, punguza upumbavu kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania imeshatest zaidi ya watu million 1 mpaka saivi kwenye maeneo tofauti ya usafiri na case ndio hizo 13 tu.
Eti 1 million. Test kits ni vifaa, kwenye maabara, vya kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli. Sio 'thermometer guns' au vifaa vya kupima joto mwilini. Acha ushamba, darasa kuhusu suala hili ulipewa hivi majuzi na MK254, ila naona ulivyo kichwa boga bado hukuelewa chochote. Kufikia juzi, Kenya ilikuwa imefanya 'testing' ya virusi vya COVID-19 kwa watu 960. Kumbuka kwamba Kenya ndio ilikuwa kati ya nchi za kwanza hapa Afrika, ambazo zilipata uwezo wa kufanya 'confirmatory test'. Ambapo inahitajika uwepo wa test kits kwenye maabara zaidi ya moja. Ili vipimo viweze kufanywa mara mbili kwa kila sampuli. Tupe taarifa rasmi kutoka kwa GoT kuhusu masuala haya, sio porojo. Au bado mpo kwenye giza la usiri wa serikali ya chama chenu 'sikivu'?
 
Kenya lacks enough Covid-19 testing kits, says Jubilee MP
Wakati Kenya ikiripoti ongezeko kubwa la maambukizi ya Corona na vifo kufikia watu 2, tatizo la upungufu wa vifaa vya kupimia watu wenye kutiliwa shaka linaweza kusababisha maambukizi kuongezeka kwa kasi zaidi

Tunaomba zile pesa zilizopatikana kwa kupunguza mishahara ya wafanyakazi mbalimbali, na pesa zilizopatikana kutokana na mikopo iliyochukuliwa ili kukabiliana na hili janga, haraka sana zitumike kununulia hivyo vifaa.

Pia tunaomba serikali yetu ya Tanzania ianze kufikiria kutusaidia hizi nchi za EAC, ambazo inaonekana wazi kwamba zinaanza kuelemewa na hili tatizo. Kasi ya maambukizi katika nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ni kubwa Sana, sidhani Kama Tanzania tutabaki salama tusipowasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Then kuna watu wanataka kuwe na mass testing as if hizo test kit wanazalisha kwenye local industries zao, hili swala la kupima watu usiige toka marekani angalia uwezo wako wa kupambana na hiyo kitu mpime mtu whenever neccessary sio kupima pima tuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti 1 million. Test kits ni vifaa, kwenye maabara, vya kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli. Sio 'thermometer guns' au vifaa vya kupima joto mwilini. Acha ushamba, darasa kuhusu suala hili ulipewa hivi majuzi na MK254, ila naona ulivyo kichwa boga hukuelewa chochote. Kufikia juzi Kenya ilikuwa imefanya 'testing' ya virusi vya COVID-19 kwa watu 960. Kumbuka kwamba Kenya ndio ilikuwa kati ya nchi za kwanza hapa Afrika ambazo zilipata uwezo wa kufanya 'confirmatory test'. Ambapo inahitajika uwepo wa test kits kwenye maabara zaidi ya moja. Ili vipimo viweze kufanywa mara mbili kwa kila sampuli. Tupe taarifa rasmi kutoka kwa GoT kuhusu masuala hayo, sio porojo. Au bado mpo kwenye giza la usiri wa serikali ya chama chenu 'sikivu'?
Hao 13 walio patikana na corona huko bongo kwani walifanywa test kutumia thermometer?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kenya lacks enough Covid-19 testing kits, says Jubilee MP
Wakati Kenya ikiripoti ongezeko kubwa la maambukizi ya Corona na vifo kufikia watu 2, tatizo la upungufu wa vifaa vya kupimia watu wenye kutiliwa shaka linaweza kusababisha maambukizi kuongezeka kwa kasi zaidi

Tunaomba zile pesa zilizopatikana kwa kupunguza mishahara ya wafanyakazi mbalimbali, na pesa zilizopatikana kutokana na mikopo iliyochukuliwa ili kukabiliana na hili janga, haraka sana zitumike kununulia hivyo vifaa.

Pia tunaomba serikali yetu ya Tanzania ianze kufikiria kutusaidia hizi nchi za EAC, ambazo inaonekana wazi kwamba zinaanza kuelemewa na hili tatizo. Kasi ya maambukizi katika nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ni kubwa Sana, sidhani Kama Tanzania tutabaki salama tusipowasaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nchi ipi ina vifaa vya kutosha vya kupimia corona ?
 
Hivi kwanini wewe huna akili kiasi hiki?, kwahiyo kwasababu duniani kuna upungufu wa vifaa haliwi tatizo Kenya kuwa na upungufu?, kwa maana hiyo sio tatizo idadi ya wenye Corona ikiwa inaongezeka eti kwasababu duniani kote idadi pia inaongezeka, kwako wewe sio tatizo wakenya kufa kwa Corona kwasababu duniani kote watu wanakufa kwa Corona. Huna akili wewe, punguza upumbavu kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema sio tatizo.?😂😂
 
Eti 1 million. Test kits ni vifaa, kwenye maabara, vya kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli. Sio 'thermometer guns' au vifaa vya kupima joto mwilini. Acha ushamba, darasa kuhusu suala hili ulipewa hivi majuzi na MK254, ila naona ulivyo kichwa boga bado hukuelewa chochote. Kufikia juzi, Kenya ilikuwa imefanya 'testing' ya virusi vya COVID-19 kwa watu 960. Kumbuka kwamba Kenya ndio ilikuwa kati ya nchi za kwanza hapa Afrika, ambazo zilipata uwezo wa kufanya 'confirmatory test'. Ambapo inahitajika uwepo wa test kits kwenye maabara zaidi ya moja. Ili vipimo viweze kufanywa mara mbili kwa kila sampuli. Tupe taarifa rasmi kutoka kwa GoT kuhusu masuala haya, sio porojo. Au bado mpo kwenye giza la usiri wa serikali ya chama chenu 'sikivu'?
Ninyi wakenya tunawajua uwezo wenu wa kujua mambo ni mdogo sana, ninyi ni watu wa kujisifia tu, Kenya hadi leo hamna uwezo wa kufanya Confirmatory test, bado mnatuma sample zenu S.Africa, wakati sisi tunafanya confirmatory test hapahapa Tanzania, punguzeni ujinga wa kupenda kujisifia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti 1 million. Test kits ni vifaa, kwenye maabara, vya kupima uwepo wa virusi vya COVID-19 kwenye sampuli. Sio 'thermometer guns' au vifaa vya kupima joto mwilini. Acha ushamba, darasa kuhusu suala hili ulipewa hivi majuzi na MK254, ila naona ulivyo kichwa boga bado hukuelewa chochote. Kufikia juzi, Kenya ilikuwa imefanya 'testing' ya virusi vya COVID-19 kwa watu 960. Kumbuka kwamba Kenya ndio ilikuwa kati ya nchi za kwanza hapa Afrika, ambazo zilipata uwezo wa kufanya 'confirmatory test'. Ambapo inahitajika uwepo wa test kits kwenye maabara zaidi ya moja. Ili vipimo viweze kufanywa mara mbili kwa kila sampuli. Tupe taarifa rasmi kutoka kwa GoT kuhusu masuala haya, sio porojo. Au bado mpo kwenye giza la usiri wa serikali ya chama chenu 'sikivu'?

Dah! Huyo mdau anachukua muda sana kupata hii elimu, Marekani pamoja na ujuzi wote wao ndio wanaongoza dunia kwa idadi ya tests ambazo hadi sasa wamefanya laki nne, hawa Watanzania na maabara yao moja wamefanya milion tests? Jameni mpaka nacheka mwenyewe hapa.
Au jamaa bado amekomalia zile toys za kupima joto alizokesha akitutambia kuhusu.
 
Kuna taarifa humu tuliletewa kuwa Kenya ndiyo nchi inaongoza Africa kwa uwezo mkubwa wa kupambana na majanga,imekuwaje?
 
Back
Top Bottom