komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,549
- 5,646
Hata hizi pia serekali imepika km zile za censusHilo la uchumi kufa lipo wazi haiwezi kuongopa ila census hapana wanaongopa, kuna article nmekuwekea kule hope umeisoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hizi pia serekali imepika km zile za censusHilo la uchumi kufa lipo wazi haiwezi kuongopa ila census hapana wanaongopa, kuna article nmekuwekea kule hope umeisoma.
Kenya imechangamka vinoma kwa sasa!., Have just watched business news kwa KTN NEWS channel report ya Central Bank, everything is back, export has increased.,
Uchumi wa makaratasi ni ule una chun out revenue ya Tsh 14.6 kwa mwaka na eti ni GDP ya $64B na wako na amani, "hapa kazi tu"., "Kwa pesa za ndani" na nyef nyef mingi kumbe ni hewa tu! Mko ovyo sanaHahahaha, tuliwaambia mara nyingi kwamba uchumi wenu upo katika makaratasi lakini kiuhalisia Kenya ni Failed state mkabisha
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, tuliwaambia mara nyingi kwamba uchumi wenu upo katika makaratasi lakini kiuhalisia Kenya ni Failed state mkabisha
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Uchumi wa makaratasi. Kenya ni bure kabisa na hii Capitalism ya kipuzi!!
Hii ushaiona, sio unapiga kelele tu hapa ushakula weyeeUchumi wa makaratasi ni ule una chun out revenue ya Tsh 14.6 kwa mwaka na eti ni GDP ya $64B na wako na amani, "hapa kazi tu"., "Kwa pesa za ndani" na nyef nyef mingi kumbe ni hewa tu! Mko ovyo sana
Mwaswast huwa anawachana sn
Unajua maana ya food insecurity kwanza? Ama unafikiria ni kukosa mlo., mbona naona Nairobi na sioni Turkana ., hii report uchwara umetoa wapi?.,Hii ushaiona, sio unapiga kelele tu hapa ushakula weyeeView attachment 1689072
Utajua hujuiUnajua maana ya food insecurity kwanza? Ama unafikiria ni kukosa mlo., mbona naona Nairobi na sioni Turkana ., hii report uchwara umetoa wapi?.,
Yeah. The slump was from june to sept, peak of corona pandemic infections. The morons dont know what recession is. We grew at 1.1% we were projected to grow at 6.6% in 2020, hence the 5.5% slump. What will this morons say about SA,angola and Nigeria who contracted to -2% . 2021 we are growing at 5-6 % , how is that a recession. Low iq Tanzanians don't think.Kenya imechangamka vinoma kwa sasa!., Have just watched business news kwa KTN NEWS channel report ya Central Bank, everything is back, export has increased.,
watalii wamejazana ZanzibarTzn haitoi Takwimu,waambie walete zao kwa vipindi tajwa hapo juu
Toa usenge wako apa wewe hujui what a recession means in Economics? Ni bora ungesimama upande wa mkunya kunya mwenzako Yosef Festo kwmb ni report ya uongo kuliko kuongea utumbo km huu.Yeah. The slump was from june to sept, peak of corona pandemic infections. The morons dont know what recession is. We grew at 1.1% we were projected to grow at 6.6% in 2020, hence the 5.5% slump. What will this morons say about SA,angola and Nigeria who contracted to -2% . 2021 we are growing at 5-6 % , how is that a recession. Low iq Tanzanians don't think.
Low iq simp troll.Toa usenge wako apa wewe hujui what a recession means in Economics? Ni bora ungesimama upande wa mkunya kunya mwenzako Yosef Festo kwmb ni report ya uongo kuliko kuongea utumbo km huu.
Sindano imekuingia makende kabisa. Endelea kutoa povu. No Tanzanian will ever tell me how my country works.Toa usenge wako apa wewe hujui what a recession means in Economics? Ni bora ungesimama upande wa mkunya kunya mwenzako Yosef Festo kwmb ni report ya uongo kuliko kuongea utumbo km huu.
Ignorant as always, aibu kwa Tanzania. Ungesoma bro ona sasa ulivyo idiotToa usenge wako apa wewe hujui what a recession means in Economics? Ni bora ungesimama upande wa mkunya kunya mwenzako Yosef Festo kwmb ni report ya uongo kuliko kuongea utumbo km huu.
Mtasumbuka hadi lini mibongolala?Weka ushahidi hapa kwmb prediction inaonesha uchumi wenu utakua zaidi ya nchi zote Afrika.