Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,033
- 79,015
Wafanyabiashara katika mpaka wa Holili uliopo Wilaya ya Rombo wamelalamikia kitendo cha wao kunyimwa kuingia nchini Kenya kufanya baishara na kutakiwa kuagiza mizigo kwa njia ya simu huku wao wakiingia nchini na kufanyabiashara bila kubughudhiwa.
=======
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
MY TAKE
Pale Mkenya anapomgwaya Mtanzania kibiashara na kuamua kumfungia! Mwanzo sababu ilikuwa coronavirus ila baada ya utaratibu wa kupimwa kuwekwa wanaendelea kuzuia wafanyabiashara wa Tanzania kuingia Kenya!
=======
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
MY TAKE
Pale Mkenya anapomgwaya Mtanzania kibiashara na kuamua kumfungia! Mwanzo sababu ilikuwa coronavirus ila baada ya utaratibu wa kupimwa kuwekwa wanaendelea kuzuia wafanyabiashara wa Tanzania kuingia Kenya!