joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Why Kenya removed Tanzania from quarantine list
MY TAKE: Someni comments za wakenya hapo chini muone ni jinsi gani wananchi wa Kenya wanavyowazidi akili viongozi wao kwa mbali sana.
Wananchi wengi wa Kenya sasa wanajua ukweli Geopolitics ya EastAfrica, wameacha kudanganywa na viongozi wao pamoja na media zao, sasa wanaijua nguvu ya Tanzania katika East Africa.
MY TAKE: Someni comments za wakenya hapo chini muone ni jinsi gani wananchi wa Kenya wanavyowazidi akili viongozi wao kwa mbali sana.
Wananchi wengi wa Kenya sasa wanajua ukweli Geopolitics ya EastAfrica, wameacha kudanganywa na viongozi wao pamoja na media zao, sasa wanaijua nguvu ya Tanzania katika East Africa.