Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu mama! nazitafuta nije kuzitumia na wewe. Hopefully bado sija chelewa..Poa sana. Kulost nayo?
Sawa kabisa ww unao umasikini lakini Bill gates hanaMbona Kenya wana SGR na Rwanda hawana?
Kulinganisha kitu kimoja kimoja kama hivyo ni wazimu. Hata mimi kuna vitu ninavyo na Bill Gates hana.
Rwanda inabaki kuwa nchi fukara na Wanyarwanda ni mafukara wa kutupa.
Bado nakusubiri....nilidhani ulitekwa na wasiojulikana😎😊Majukumu mama! nazitafuta nije kuzitumia na wewe. Hopefully bado sija chelewa..
Sio mbaya kiukweli..na mm nasifia rwanda kwa maendeleo yao.na wamefanya vzur...Hii stadium ndiyo itatumika katika NBA Africa semi-finals and Finals in 2020. This will be the first time NBA will host a full-season league outside U.S.A
Wewe Mtanzania una akili sana na mawazo yaliyobaleghe. Sio kawaida kuwaona Wabongo wakitumia ubongo wao vizuri kwenye comments kama wewe. Endelea hivyo hivyoSio mbaya kiukweli..na mm nasifia rwanda kwa maendeleo yao.na wamefanya vzur...
Ila nchi zote zinaouwezo wakufanya hiv ila shida ni kuwa hatuoni kama michezo ni priority
Hii stadium haijacost zaid ya $25mil which ni hela ndogo sna kwa nchi kama Tz na Kenya
Lets talk about Tz ..kuna Kipind PM alisema watajenga Indoor mpya Dar ila mpka sa hiz haijajengewa ..ila Stadium mpya ya dodoma inaanza kujengwa..tht means Basketball isnt seen as a priority ...which this means our leaders
1. lack vision
2.They dont see sports/sports toursim as a place to invest ..because of having alot of resources to depend kama national parks and all
Kwa rwanda hawana vivutio ving so wanajarbu kila njia kuvutia uwekezaji wa sports na conference tourism....
Wewe Mtanzania una akili sana na mawazo yaliyobaleghe. Sio kawaida kuwaona Wabongo wakitumia ubongo wao vizuri kwenye comments kama wewe. Endelea hivyo hivyo
Nakubaliana na wewe mia fil mia. Mawazo mazuri hayo.Lets hope one day our leaders will give sports a big priority ...angalia jinsi tunavyolipia kuangalia NBA na EPL au La liga ..Nchi hizo zinapata hela sana kwa sports....jinsi wanavyopata tourist kunagalia UCL matches....so tukiinvest kwenye sports itasaidia uchumi pia na ajira
Nmeona Kenya mnajenga small stadiums which is not bad atleast ..but sio kama mlivyohaidiwa ila utafanyaje heli nusu shari kuliko shari kamili...hizo small stadium zitasaidia kukuza teams za mpira na vipaji but nyie mnavyocheza michezo kama rugby kwenye international levels..mnegejenga a good standard multipurpose stadium mhost hata rugby tournaments
Tz pia tuko na ligi nzur ya mpira ..shida imekuwa dominated na few teams ...Tz walau football can give us hope at club levels international bado
Simba has made us proud kufika big stage last season ..at CAF champions league
Ni muda sasa our big clubs zijenge stadium zao ili wapate hela zao wenyewe ..
Na pia Tz tu invest atleatst 50mil usd in 2-3 yeas we can get a good indoor and swimming arena itatusaidia
Hahaa.. hao na mimi tunaongea lugha moja. Wakikumata waambie unafahamiana na mimi watakuacha uende zakoBado nakusubiri....nilidhani ulitekwa na wasiojulikana
Sasawa. Have a nice day ☀ 😙😘 😻Hahaa.. hao na mimi tunaongea lugha moja. Wakikumata waambie unafahamiana na mimi watakuacha uende zako