Kenya what can we learn from Rwanda's ultra-modern stadium built in 6 months

Duh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..

Anyways Dandora Stadium
EBYEXnoWwAEO42-.jpg


D6SkAT2W4AAglid.jpg


D6Sj96_W4AEH0cZ.jpg


E0IGtK8h.jpg



Iko karibu kukamilika
EBSOgXGXkAA2rpk


EBRnhVLX4AA0o6V



Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
D1DXBx3XcAAEAYg.jpg

D1DYFybWoAIE3ot.jpg
 
The night pictures are Bomu stadium in Mombasa.
Duh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..

Anyways Dandora Stadium
EBYEXnoWwAEO42-.jpg


D6SkAT2W4AAglid.jpg


D6Sj96_W4AEH0cZ.jpg


E0IGtK8h.jpg



Iko karibu kukamilika
EBSOgXGXkAA2rpk


EBRnhVLX4AA0o6V



Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
D1DXBx3XcAAEAYg.jpg

D1DYFybWoAIE3ot.jpg
 
Duh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..
Anyways Dandora Stadium
EBYEXnoWwAEO42-.jpg

D6SkAT2W4AAglid.jpg

D6Sj96_W4AEH0cZ.jpg

E0IGtK8h.jpg

Iko karibu kukamilika
EBSOgXGXkAA2rpk

EBRnhVLX4AA0o6V

Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
D1DXBx3XcAAEAYg.jpg

D1DYFybWoAIE3ot.jpg
Ni nzuri kuliko dare salaam stadium
 
Kagame ni kiongozi mwenye maono ya mbali sana, japo kuna kipindi majirani zetu walimtukana sana na kujenga uadui naye,
Hao majirani zenu ambao walimtukana ni majirani wenu gani, na walimtukana kwa sababu zipi?!
 
Hao majirani zenu ambao walimtukana ni majirani wenu gani, na walimtukana kwa sababu zipi?!

Wenyewe wanajua walitukanana kwa ajili ya nini, ila nakumbuka povu zilikua zinawatoka, kuna siku huyo Kagame hadi alijikuta anasema atamhit mtu, duh, yaani nusra magobole yatumike.
Lakini kwa sasa naona wametulizana wote.....
 
Juzi hukuona Yanga Vs Kariobangi na Simba Vs Power dynamos uwanja ulivyo jaa! Au angalia week end hii Simba Vs Ud Songo. Tatizo AFC haiko vizuri kama zamani na Gor ilipotea kwa kipindi kirefu kwa hiyo kuna kizazi hakija ambukizwa ushabiki wa hizo timu zenu mbili zenye ushindani wa jadi. Kuna kipindi Gor na AFC zilikua kama hazipo kwenye ramani ya soka Kenya, ilikua ni Tusker, Mathare utd, Sofapaka, Oserian e.t.c.
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football
 
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football

Unataka Kufananisha football na Vitu vya Kipumbavu?
Halafu usisahau all your best players hapo Kenya premier League dream to play in Tz.
 
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football
Naona umeamua kuhamisha goal posts
 
Unataka Kufananisha football na Vitu vya Kipumbavu?
Halafu usisahau all your best players hapo Kenya premier League dream to play in Tz.
Hakuna players wa maana Kwa local leagues za Africa,. Ni umaskini tu bado.
Na ujue rugby na Athletics zinalipa sana na si michezo za zero brains,
Kenya hatuko sawa football but ATLEAST other sports tunawakilisha poa east Africa( Uganda netball women team juzi walikuwa world cup UK
 
You say what? Maliza sentensi ama ukae kimya. "Aisee" ndio uporo wa juzi au nini? Wewe na ule mwengine wa kupumua "Mhh" mnaudhi. Na ule wazimu mwengine, kazi ni "cc Mahondaw" . Sijui Mahondaw ndio mhongo gani?

Hahah daah we mjinga umenichekesha sana aiseeee,hahah.

Haya bana.
 
Wenyewe wanajua walitukanana kwa ajili ya nini, ila nakumbuka povu zilikua zinawatoka, kuna siku huyo Kagame hadi alijikuta anasema atamhit mtu, duh, yaani nusra magobole yatumike.
Lakini kwa sasa naona wametulizana wote.....
povu zilikua zinawatoka, mapovu yalikuwa yanawatoka. tuusan njoo tukufundishe kiswahili cha Kenya 😎😎
 
Mngekua mko vizuri mngetufunga juzi
Kujisifia ujinga nako
Nyinyi mnajaza tu football,
Hamna game ingine mnajua,
Always football na ikifika Kwa major tournaments mko zero,,,
It's time mwanze kujaribu other matches,,,,
Kama ni Raga or athletics,,kasarani hukaa kabisa,,,it's not always about football
 
Back
Top Bottom