Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,212
- 6,972
Duh! Ukilinganisha na ile inayojengwa na Nairobi County, inakaa kama Jua kali, hio ya kagame sasa ndo inaitwa stadium!
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..
Anyways Dandora Stadium
Iko karibu kukamilika
Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too
Sisi tutaendelea kujenga vidude tu, Yani serekali kuu imeshindwa kabisa mpaka inabidi county na timu binafsi ndo zianze kujipanga wenyewe bila kutegemea serekali kuu..
Anyways Dandora Stadium
Iko karibu kukamilika
Wazito FC nao wanaota kujenga ka Stadium Kao, Nothing impressive too