state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Mkuu wa mashtaka nchini Kenya Nurdin Hajj ametoa warrant ya kukamatwa waziri wa fedha wa Kenya na maofsa wengine 28 akiwemo mtunza hazina mkuu was serkal mapema leo vyombo vya habari vya Kenya vimeripoti
Tuhuma za ufisadi wa pesa za ujenzi wa mabwawa ya maji zilichukua sura Mpya tangu mwaka jana hivyo kuhitajika uchunguzi zaidi ulio zusha mvutano kati ya makamo wa rais samoei rutto na kinara wa upinzani Raila Odinga
Maafsa kadha wa kigeni pia kujumuishwa katika kamatakamata hiyo
Chanzo Kenya media houses
=============
Waziri wa fedha Kenya Henry Rotich amejisalimisha kwa maafisa wa upelelezi hii leo, muda mfupi baada ya mkurugenzi wa mashtaka nchini kuagizwa akamatwe.
Kwa mujibu wa Nairobi News, Waziri Rotich alipelekwa kwa gari hadi katika makao makuu ya idara ya upelelezi ambako anahojiwa kuhusu malipo yaliotolewa kwa ujenzi wa mabwawa mawili nchini.
Anatuhumiwa kukiuka muongozo wa utoaji wa kandarasi iliopewa kampuni ya Italia CMC de Ravenna yenye thamani ya zaidi ya dola milioni 450 kwa ujenzi wa mabwawa.
Hapo awali, mkurugenzi wa mashtaka Kenya aliagiza kukamatwa kwa waziri wa fedha Henry Rotich na ashtakiwe kuhusu ufisadi
Mkurugenzi huyo wa mashtaka Noordin Haji amekuwa akizungumza katika vyombo vya habari kuhusu uamuzi wa kumshtaki waziri wa fedha Kenya Henry Rotich, na maafisa wengine wa serikali kuhusu kandarasi zilizotolewa kwa kampuni ya Italia kujenga mabwawa mawili
Tuhuma za ufisadi wa pesa za ujenzi wa mabwawa ya maji zilichukua sura Mpya tangu mwaka jana hivyo kuhitajika uchunguzi zaidi ulio zusha mvutano kati ya makamo wa rais samoei rutto na kinara wa upinzani Raila Odinga
Maafsa kadha wa kigeni pia kujumuishwa katika kamatakamata hiyo
Chanzo Kenya media houses
=============
Waziri wa fedha Kenya Henry Rotich amejisalimisha kwa maafisa wa upelelezi hii leo, muda mfupi baada ya mkurugenzi wa mashtaka nchini kuagizwa akamatwe.
Kwa mujibu wa Nairobi News, Waziri Rotich alipelekwa kwa gari hadi katika makao makuu ya idara ya upelelezi ambako anahojiwa kuhusu malipo yaliotolewa kwa ujenzi wa mabwawa mawili nchini.
Anatuhumiwa kukiuka muongozo wa utoaji wa kandarasi iliopewa kampuni ya Italia CMC de Ravenna yenye thamani ya zaidi ya dola milioni 450 kwa ujenzi wa mabwawa.
Hapo awali, mkurugenzi wa mashtaka Kenya aliagiza kukamatwa kwa waziri wa fedha Henry Rotich na ashtakiwe kuhusu ufisadi
Mkurugenzi huyo wa mashtaka Noordin Haji amekuwa akizungumza katika vyombo vya habari kuhusu uamuzi wa kumshtaki waziri wa fedha Kenya Henry Rotich, na maafisa wengine wa serikali kuhusu kandarasi zilizotolewa kwa kampuni ya Italia kujenga mabwawa mawili