Kenya: Waziri wa Fedha, Henry Rotich kukamatwa

state agent

JF-Expert Member
Jul 1, 2019
1,764
2,511
Mkuu wa mashtaka nchini Kenya Nurdin Hajj ametoa warrant ya kukamatwa waziri wa fedha wa Kenya na maofsa wengine 28 akiwemo mtunza hazina mkuu was serkal mapema leo vyombo vya habari vya Kenya vimeripoti

Tuhuma za ufisadi wa pesa za ujenzi wa mabwawa ya maji zilichukua sura Mpya tangu mwaka jana hivyo kuhitajika uchunguzi zaidi ulio zusha mvutano kati ya makamo wa rais samoei rutto na kinara wa upinzani Raila Odinga

Maafsa kadha wa kigeni pia kujumuishwa katika kamatakamata hiyo


Chanzo Kenya media houses


=============

Waziri wa fedha Kenya Henry Rotich amejisalimisha kwa maafisa wa upelelezi hii leo, muda mfupi baada ya mkurugenzi wa mashtaka nchini kuagizwa akamatwe.

Kwa mujibu wa Nairobi News, Waziri Rotich alipelekwa kwa gari hadi katika makao makuu ya idara ya upelelezi ambako anahojiwa kuhusu malipo yaliotolewa kwa ujenzi wa mabwawa mawili nchini.

Anatuhumiwa kukiuka muongozo wa utoaji wa kandarasi iliopewa kampuni ya Italia CMC de Ravenna yenye thamani ya zaidi ya dola milioni 450 kwa ujenzi wa mabwawa.

Hapo awali, mkurugenzi wa mashtaka Kenya aliagiza kukamatwa kwa waziri wa fedha Henry Rotich na ashtakiwe kuhusu ufisadi

Mkurugenzi huyo wa mashtaka Noordin Haji amekuwa akizungumza katika vyombo vya habari kuhusu uamuzi wa kumshtaki waziri wa fedha Kenya Henry Rotich, na maafisa wengine wa serikali kuhusu kandarasi zilizotolewa kwa kampuni ya Italia kujenga mabwawa mawili
 
Duh! Akikamatwa huyo nitaamini hii serikali ina haja ya kumaliza ufisadi, maana ni mmojawapo wa mawaziri wenye nguvu sana seriklini. Nilikua nimeanza kumchoka rais Uhuru kwenye hili la ufisadi.
Japo huyu waziri hujituma sana, mchapa kazi wa kueleweka, sijui shetani gani kamuingia hadi atajwe kwenye mambo ya kihivi.
Waliokamatwa wote ni wakuu sana, watu wa karibu kwa rais Uhuru, tuone huu mchezo unavyokwenda, rais aonyeshe uongozi, asizuie wala kuingilia kati.
 
Duh! Akikamatwa huyo nitaamini hii serikali ina haja ya kumaliza ufisadi, maana ni mmojawapo wa mawaziri wenye nguvu sana seriklini. Nilikua nimeanza kumchoka rais Uhuru kwenye hili la ufisadi.
Japo huyu waziri hujituma sana, mchapa kazi wa kueleweka, sijui shetani gani kamuingia hadi atajwe kwenye mambo ya kihivi.
Rotich ameshajiwasilisha kwa polisi.
 
NAIROBI, Kenya Jul 22 – Top Treasury chiefs have been arrested over the Sh63 billion Arror and Kimwarer dams scandal, following approval of charges against them by the Director of Public Prosecutions Noordin Haji.
Those in custody include Treasury Cabinet Secretary Henry Rotich, his Principal Secretary Kamau Thugge as well as the Chief Executive Officer of the National Environment ManagementAuthority (NEMA) Geoffrey Wahungu.
“They are in custody now awaiting to be taken to court,” George Kinoti, the Director of Criminal Investigations told Capital FM News on telephone, “We are looking for more others and they will all go to court.”

The three presented themselves moments after the DPP declared that they were wanted persons over the scandal.
Also wanted is the Principal Secretary at the Ministry of East African Community (EAC) Dr Susan Jemutai Koech, Kerio Valley Development Authority (KVDA) Managing Director David Kimosop, Kennedy Nyakundi Nyachiro, Chief Economist at the Treasury who also heads Europe II Division alongside 23 other officials who include Italians from the CMC di Ravena—the firm that was contracted to put up Kimwarer and Arror dams in Elgeyo Marakwet on a government-to-government agreement.
“After analyzing the evidence gathered by the Director of Criminal Investigations, I am satisfied that economic crimes were committed and I have therefore approved their arrests and prosecutions,” Haji told a news conference in Nairobi.
Whereas the alleged commercial contract signed between KVDA and CMC Di Ravenna/Itinera JV clearly states that Kimwarer Dam would cost USD 204,020,149.02 while Arror Dam would cost USD 252,188,732.27 totaling to USD 456,208,881 (approximately Sh 46 Billion), Haji said, the National Treasury negotiated a commercial facility increasing the amount to approximately Sh 63 Billion which is 17 Billion more than necessary or required payable on a timely basis without regard to performance or works.
RELATED CONTENT
Treasury CS Rotich and PS Thugge to face charges over dams scandal


Munya among CS nominees facing challenge
CS Rotich back at DCI for questioning over dams scandal


“We now also know that CMC di Ravenna submitted draft technical designs in February 2019 four years behind schedule,” Rotich said.
Others facing arrests are Jackson Njau Kinyanjui (Director Resource Mobilization Department National Treasury), Titus Murithii (Inspector General of State Corporations), Paolo Porcelli (Director CMC di Ravenna) CMC di Ravenna – Itinera JV Italy, William Kipkemboi Maina (Head of Supply Chain Management), Paul Kipkoech Serem (Manager Engineering Services), Francis Chepkonga Kipkech (Tender Committee).
Haji has also ordered the arrests of Samuel Kimutai Koskei (Tender Committee), David Juma Onyango (Tender Committee), Patrick Kiptoo (Tender Committee), Elizabeth Kebenei (Tender Committee), Esther Jepchirchir Kiror (Tender Committee), Moses Kipchumba (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2) and Eng. Nelson Korir (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2).
Others are Eng. Isaac M. Kiiru (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2), Eng. Patrick Kipsang (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2), Fredrick Towett (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2), Jotham Rutto (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2), Charity Muui (Ad hoc Technical and Financial Evaluation Committee Team 2), Geoffrey), David Walunya Ongare (National Environment Management Authority) and Boniface Mamboleo Lengisho (NEMA).
Charges facing them include conspiracy to defraud, failure to comply with applicable procurement laws, engaging in a project without prior planning and abuse of office among other economic crimes.
“The investigations established that government officials flouted all procurement rules and abused their oath of office to ensure the scheme went through,” Haji said.
While detailing their crimes, Haji said the officials had breached public debt regulations.
“If this project was carried in the strict adherence to the law and existing policies in place to safeguard public interest, it should not have cost Sh63 billion. The evidence establishes malpractices that impacted on our national debt,” he said.
“Some Sh4.6 billion was borrowed in addition to the principal amount to pay interest in advance during the construction period, which to date has not commenced. As a country we continue to pay interest on the loan. We borrowed, the loan had interest, we borrowed more money to pay the interest which also attracted interest,” Haji said, “A further Sh643 million was released by the National Treasury as a counterpart funds which was meant for the resettlements of the persons that would be affected by the same projects for the compensation of land acquired.
However, there is no evidence that land has been acquired four years down the line. Furthermore, Kenya Forest Service any excision of forest land, pointing to significant adverse impact on the forest ecosystem.”
Rotich is on record confirming that the government had spent Sh12 billion to secure funding for the construction of the two dams, with the sum having been paid out to meet set conditions before the actual funding.
“Like any other standard loan facility signed by the government, there are several conditions to be met before funds are available to the borrower and the contractor to commence work,” he said in a press statement published in local dailies at the height of the police investigations in March.
The Sh12 billion was part of the conditions precedent outlined in a financing agreement approved by the Attorney General before the National Treasury signed it on April 18, 2017, he explained at the time.
The amount entailed an arrangement fee of Sh545.9 million, a Sh359.5 million commitment fee, a Sh3.5 million agency fee and a Sh11.1 billion insurance premium paid to an Italian contractor.
According to Rotich, the government-owned Italian firm – Servizi Assicurativi del Commercio Estero (SACE) – was paid a Sh7.8 billion advance fee representing 15 per cent of the contract amount.
The National Treasury at the time denied reports that up to Sh21 billion had been paid out in respect to the construction of Arror, and Kimwarer dams before commencement of works.
 
Duh! Akikamatwa huyo nitaamini hii serikali ina haja ya kumaliza ufisadi, maana ni mmojawapo wa mawaziri wenye nguvu sana seriklini. Nilikua nimeanza kumchoka rais Uhuru kwenye hili la ufisadi.
Japo huyu waziri hujituma sana, mchapa kazi wa kueleweka, sijui shetani gani kamuingia hadi atajwe kwenye mambo ya kihivi.
Waliokamatwa wote ni wakuu sana, watu wa karibu kwa rais Uhuru, tuone huu mchezo unavyokwenda, rais aonyeshe uongozi, asizuie wala kuingilia kati.
Kukamatwa ni rahisi tatizo ni kufungwa. Hawawezi fungwa jela. Halafu wacha tuone kama ataresign since Kenyatta said that anyone charged in court must resign. Kuna kamiti hapo ina watu ninety percent kutoka kabila moja ndio ujuwe Kenya bado tuna ujinga ya tribalism na sijui itaisha lini? Ile siku mtu ataajiriwa based on competency rather than tribe tutakuwa sawa. It is unacceptable for a tender committee of a govt body KVDA to have everyone except one person coming from one community. Halafu munaexpect nini when such cronism and nepotism is malignant in the KE govt. Corruption will probably never end. Halafu ngoja usikie upuzi ya "watu wetu wanaangamizwa"
 
22 JULY 2019 2 MIN READ
Uhuru to name acting Treasury CS, PS after Rotich, Thugge arrest
In April, Uhuru said that all government officers must step aside once they are charged.
In Summary
• DPP ordered the arrest of Rotich and Thugge over the alleged Kimwarer and Arror dam scandals.

by OLIVER MATHENGE News

President Uhuru Kenyatta with Treasury CS Henry Rotich during the second High level meeting opening ceremony in Nairobi on November30, 2016.
President Uhuru Kenyatta with Treasury CS Henry Rotich during the second High level meeting opening ceremony in Nairobi on November30, 2016.
Image: ENOS TECHE
President Uhuru Kenyatta is expected to announce an acting Treasury Cabinet Secretary later today.

The President is also expected to name an acting Treasury PS in line with his declaration during the State of the Nation address in April.


Addressing Parliament, Uhuru said that all government officers will cease holding office once they are charged in court.

It is expected that the President will name an acting CS from within his Cabinet as nominating one from outside would require that he seeks Parliament's approval.

Article Menu
Sources within the Presidency have told the Star that Uhuru would make the announcement once CS Henry Rotich is arraigned in court.

This follows the announcement by Director of Public Prosecutions, Noordin Haji, ordering the arrest of Rotich and Thugge.

"There cannot be a vacuum in this office. It is a key institution that can ground government business," a source within the Presidency said.

Uhuru had already been briefed about the impending arrest and was consulting this morning on how to ensure there is a smooth transition.

WHO IS HENRY ROTICH?

Rotich assumed the position of Treasury Cabinet Secretary in May 2013 in Uhuru's first Cabinet.

In the last six years, Rotich has been charged with managing Kenya’s national government finances, including spearheading an efficient and sustainable public financial management.

Prior to his elevation as a Cabinet Secretary, Rotich was the Head of Macroeconomics at the Ministry of Finance, since March 2006.

Before joining the Ministry of Finance, Rotich also worked at the Research Department of the Central Bank of Kenya since 1994.

Between 2001-2004, he was attached to the International Monetary Fund (IMF) local office in Nairobi to work as an economist.

Rotich holds a Master’s Degree in Public Administration (MPA) from the Harvard Kennedy School, Harvard University, USA. He also holds a Master’s Degree in Economics and a Bachelor’s Degree in Economics, both from University of Nairobi, Kenya.

Treasury CS Henry Rotich and PS Kamau Thugge
Treasury CS Henry Rotich and PS Kamau Thugge
WHO IS KAMAU THUGGE?

Thugge is a long-serving civil servant who previously worked in the Ministry of Finance as head of Fiscal and Monetary Affairs Department, Economic Secretary and as Senior Economic Advisor.

Before joining the Ministry of Finance, he worked with the International Monetary Fund (IMF) as Economist, Senior Economist and Deputy Division Chief.

He has been praised for playing a central role in designing Kenya's current financial system as well as formulating all finance laws in the country.

Thugge is widely published and holds a Bachelor of Arts (Economics) degree from Colorado College, USA;

He also holds a Master’s degree in Economics and a Doctor of Philosophy (PhD) degree in Economics also from John Hopkins University, USA.
 
Duh! Akikamatwa huyo nitaamini hii serikali ina haja ya kumaliza ufisadi, maana ni mmojawapo wa mawaziri wenye nguvu sana seriklini. Nilikua nimeanza kumchoka rais Uhuru kwenye hili la ufisadi.
Japo huyu waziri hujituma sana, mchapa kazi wa kueleweka, sijui shetani gani kamuingia hadi atajwe kwenye mambo ya kihivi.
Waliokamatwa wote ni wakuu sana, watu wa karibu kwa rais Uhuru, tuone huu mchezo unavyokwenda, rais aonyeshe uongozi, asizuie wala kuingilia kati.
Mi hua nasema kila siku, the biggest impediment in jubelee govt development agenda is the negligence/incompetence/bad governance of two main CS, i.e CS Rotich and Transport CS Macharia.....
Transport ministry gobbles up almost 40% of budget yet Macharia is the most useless person, no vision at all ... Rotich doesn't even have a policy framework for the economy, just a stooge following orders... We don't need mr yes sir in such ministries.... You need someone like CBK governor, some1 who can stand Infront of you and say this is a bad decision Mr . President.. someone who can stand up and say we don't have money to do this and that ... Unlike Rotich who keeps saying everything is fine, no problem at all.. then two month later.. ," we are taking another eurobond" yet there is no clear roadmap or framework that explains to the public what projects will be funded by the new bond and what their impacts are to the economy..
A CS job is to advise the president in order for him to make good decisions, they need to be accurate , candid and truthfull. You don't need asskissers telling the president what they think he wants to hear...

A good example is Rural electrification and last mile connectivity project... About 1 million new customers were connected to the grid just b4 the last election, govt went around campaigning and praising themselves... Up to now they probably keep telling the president how good of a job they did and still continue to do connecting more people .... What they probably omit when they say that is that 50% of people who are given free electricity connection fail to pay for the power usage after 3-6 months and go back to using kerosine lamps . I would rather have a CS who will say, 'Mr president, The better policy would be to create more jobs so that people can afford to pay for meter connection fee and power usage at standard normal rates rather than subsidizing the connection fee for people who won't be able to sustain paying the the power bills"
 
Tanzania bla bla tuu ohhh mahakama ya mafisadi imekua mahakama ya wanasiasa wa upinzani

By the way mahakama ya ufisadi ilibuniwa? Nakumbuka ilitamkwa sana kipindi cha kampeni, ilifaa kutumika kwenye ufisadi wa trilioni 1.5
 
Rotich ni msiri na rafiki wa Kenyatta, hata kama Yeye ni kabila la Ruto.. Sasa wacha watoane suruali za ndani hadharani.
Jubilee is a Joint Criminal gang of uhuru and Ruto
 
Hii sio mambo ya Chato. Investigation ilianza zamani hata kabla Uhuru hajakuja Chato. Usifikiri kila kitu ina uhusiano na T.Z

Wewe unajua kuna investigation ngapi zinafanyika na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa despite the truth of involving in scum.
Sikiliza bwana mdogo, pale mzee wa chato alimwambia katika vita hivi hatuangalii makunyanzi, wewe nenda katumbue tu. Na baada ya hapo, utaona kama atabakia kuwa waziri.
 
Wewe unajua kuna investigation ngapi zinafanyika na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa despite the truth of involving in scum.
Sikiliza bwana mdogo, pale mzee wa chato alimwambia katika vita hivi hatuangalii makunyanzi, wewe nenda katumbue tu. Na baada ya hapo, utaona kama atabakia kuwa waziri.
Kwani wewe ni mende ulikuwa umejificha chini ya kiti wakati marais wanazungumza? Anyway wacha nikuamini tu shingo upande.
 
Kenyatta atakuwa anaunga juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano... Magufuli oyeeeee...ccm oyeeeeee.....
 
Boss, ukiendelea na ushabik wa aina hii, siku utakapo ona yai lenye viini viwili utasema ni kazi ya jogoo kutoka Chato.
Mshaanza kumlimbikizia majina kama ya Mobotu? Yetu macho, msisahau kuongeza na ile nyingine ya Koroshow Master.
 
Back
Top Bottom