KENYA;- WATU WANNE WAFARIKI BAADA YA GARI KUKANYAGA BOMU MANDERA

Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.
jamaa inawezekana kuwa hakukuelewa ama hafaham fika maana ya neno futari
 
Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.

Kitenzi cha nomino futari ni futuru, kula futari = kufuturu.
 
Sifurahii watu kufa
Ila kama ungelikuwa humu jf muda kidogo unge elewa,
Tumekuwa tukiwaeleza wakenya
Hawa watu hawana chakupoteza
Hawa ni habari nyingine kabisa
Mjiulize kwanini Marekani alikimbia Somalia!?
Mnapaswa kulinda mipaka yenu
Na mkubari Mna jeshi la hovyo.
Jeshi letu liko imara sana, na inapambana nao vilivyo huko Somalia, hivi kuwasambaratisha kabisa maghaidi hawa.

Hawa wangechukua mamlaka huko Somalia, kanda hili lingekuwa hapako salama kabisa.

Kenya kama jirani na Somalia haikuwa na budi ila kuingia Somalia. Kuweka majeshi yetu mpakani haingekuwa hatua ya kutosha; hawa magaidi walikuwa wakiendelea kupata nguvu zaidi ndani ya Somalia.

Tuna majeshi yetu mpakani, pamoja na mle ndani mwa Somalia. Ndio maana Kenya leo ni nchi salama zaidi ikivyokuwa miaka minne iliyopita.
 
Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.
Kufutari ndio nini ? Zeeka vizuri basi
 
Hayo niyako
Lakini huko mie siko
Nacho kizungumzia ni kile kinacho onekana
Imalisheni ulizi wenu kwanza,
Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi
Somalia wana ideologists za ISIS, kuexpand Islamic lands. So hata majeshi ya Kenya yakitoka Somalia, bado wataattack Kenya. They want to extend their boundaries. Unakumbuka before Kenya waende Somalia, they used to enter Kenya and attack people here, at one time wali kidnap watu. So Kenya ikitoka Somalia, ita harass Kenyans zaidi
 
yaani ndio swali ambalo najiuliza kila uchao...ni nani anawafadhili hawa al shabaab? hivi hizi mabomu za kisasa wanazotumia wanazitoa wapi? kulikuwa na fununu hivi majuzi kuwa ni serikali ya Qatar ila hilo halijathibitishwa..ktk swala la dini, sijui tulaumu Islam ama kwasababu magaidi wana imani za kijinga kwel kwel...hivi, ni ukweli kuwa ukiwauwa wakristo ama kafiri utawekwa pema peponi? pengine waislamu waje wanithibitishie hili...pia, nimeskia kuwa al shabaab nia yao ni kubatilisha uongozi wa serikali ya Somalia inayosapotiwa na wamarekani ndio wawe na sheria mpya za utawala almaarufu 'Shariah law'...hilo tu ndio ninalolijua..

Dini gani inatuma kuua mwanadamu mwenzie!
Hawa wanaichafua dini tu
 
ooooh nimekuelewa sasa....kumbe ni hili jambo la Kenya vs TZ...haya nimekubali...wanajeshi wetu ni hovyo...I assume sasa utasema TZ forces are stronger...right?
We're in the same boat, hata TZ kuna hawa jamaa hapa Kibiti wanageuka kuwa kero sasa... Ninahofia wasije kuwa new boko harram...
 
Mbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Heheheheh! Msamehe bure, sio kila Mtz anajua Kiswahili (maana ya kufutari)...
 
Heheheheh! Msamehe bure, sio kila Mtz anajua Kiswahili (maana ya kufutari)...
Namuelewa dada huyo aganza. Yeye mkristo, pengine haya mambo ya kiislamu hayaelewi, hayajui.

Hata kuna misamiati fulani katika dini ya kikristo waislamu wengine hawayajui yanamaanisha nini, wala kiyasikia.
 
pole kwa familia zao....dah! naona wakenya wa kawaida wahamishwe kule wabaki wanajeshi pekee yake....hawa jamaa sioni kama watawahi kuisha..ni bora serikali iwahamishe raia...ila nimeshangazwa.....MOTOCHINI kafurahi watu wakifa...
kuhamisha raia ni dalili ya kushindwa mkuu,vipi kama wakivamia Nairobi,bado raia watahamishwa?,cha msingi ni kuongeza ulinzi na kuwafagilia mbali hao magaidi
 
Somalia wana ideologists za ISIS, kuexpand Islamic lands. So hata majeshi ya Kenya yakitoka Somalia, bado wataattack Kenya. They want to extend their boundaries. Unakumbuka before Kenya waende Somalia, they used to enter Kenya and attack people here, at one time wali kidnap watu. So Kenya ikitoka Somalia, ita harass Kenyans zaidi
Linda mipaka yako
Hilo tu
 
kuhaisha raia ni dalili ya kushindwa mkuu,vipi kama wakivamia Nairobi,bado raia watahamishwa?,cha msingi ni kuongeza ulinzi na kuwafagilia mbali hao magaidi
Walivamia Wastegate vipi walihamisha
Hawa watu hovyo kabisa
 
Namuelewa dada huyo aganza. Yeye mkristo, pengine haya mambo ya kiislamu hayaelewi, hayajui.

Hata kuna misamiati fulani katika dini ya kikristo waislamu wengine hawayajui yanamaanisha nini, wala kiyasikia.
Misamiati kwenye dini ya kikristo
Wacha kuhadaa watu
 
Back
Top Bottom