Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
jamaa inawezekana kuwa hakukuelewa ama hafaham fika maana ya neno futariMbona unanilazimisha kusema kitu tofauti na nilichokusudia, kwani kwenye huu mwezi kawaida jioni huwa mnakula nini hicho kama sio futari.
Huyo hapo namuuliza kama amefutari kabla hajaanza mihemko ya kushabikia magaidi kwenye mwezi huu niliodhani huwa mnavaa makanzu na kuwa watulivu.