Kenya watu wameanza kuanguka mitaani kwa kugombea chakula

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Mar 10, 2020
1,258
1,541
Baada ya Kenya kuendelea na msimamo Wake wa kufungia wananch Hali imezid kua mbaya baada ya watu kuanza kuanguka na kupoteza faham wakat wa kugombea chakula

Pia katika mgao huo Kuna baadh wamelalamika kukosa chakula na kuanza kutupa lawama kwa serekal


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20200519-130914.jpeg
    Screenshot_20200519-130914.jpeg
    19.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20200519-130907.jpeg
    Screenshot_20200519-130907.jpeg
    13.6 KB · Views: 1

Similar Discussions

Back
Top Bottom