kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,611
Nikadhani wakenya nao wanalilia kutekwa na kuuwawa na Rais wao ajaye ktk jina la wasio julikana kama wa tz.Heading yako ni upotoshaji mtupu,haiendani na content kabisaaaa!
Habibu mchange si mwenzio wwMakamu wa mwenyekiti wa Jubiler amesema anakwenda mahakamani kupinga Naibu Rais Rutto kugombea nafadi ya Rais katika uchaguzi ujao kwani ni kinyume cha sheria na katiba.
Makamu huyo wa mwenyekiti amesema ni vema Kenya ikapata Rais katika utaratibu huru na wa haki kama ilivyokuwa Tanzania ambako wagombea wote wa chama tawala walikuwa sawa na hakuna aliyebebwa na mbeleko.
Amedai kuwa kwa mujibu wa katiba Naibu wa Rais anayehufumu kwa vipindi viwili mfululizo anatakiwa kustaafu na Rais. so Rutto ni lazima astaafu na Uhuru.
Chanzo: ITV habari!
My take;
Hii kesi itakuwa nzuri sana maana kule Kenya kuna " vipanga" siyo kama hawa akina Habib Mchange wa hapa kwetu.