Kenya wanafanya propaganda chafu kwenye msiba wa Rais Magufuli

Kila mtu akale aliko peleka mboga!!
Mambo ya kuficha ficha ndo yameleta yote haya!
Watu wangetangaziwa mapema, wangemuombea huenda angepona!

Waliotakiwa kusema ukweli walitudanganya anachapa kazi, waongo wakasema ukweli anaumwa!
Sasa unazani mkweli ni nani!
Tumwamini yupi?
TUJISAHIHISHE TURUDISHE UMOJA
Kwan we unaamin hakuna kifo? Au mpaka kiwe kifo kitokeaje mpaka kiwe halali au kwa mipango ya mungu?. Au unaweza kuzuia kifo cha mzazi wako mpendwa mwenzetu kwa njia yeyote ile?
 
Barakoa na maji tiririka ni muhimu jamani.
Huko ulaya wenye viwanda vya barakoa wanakufa wangapi kwa cku? Kufa lazima ufe kwa sababu yeyote ile . Kila nafsi itaonja mauti na haijalishi kwa mda gani na sababu gani sasa Kama unapinga hili bc itakua unejiumba mwenyewe
 
Huko ulaya wenye viwanda vya barakoa wanakufa wangapi kwa cku? Kufa lazima ufe kwa sababu yeyote ile . Kila nafsi itaonja mauti na haijalishi kwa mda gani na sababu gani sasa Kama unapinga hili bc itakua unejiumba mwenyewe

Duh!! Jamaa una nguvu kweli, balaa la king'ang'anizi.
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Angalia unafiki wao!
 
Basi na media zetu zifanye kitu tofauti. Zipige propaganda na kuonyesha vitu positive tu badala ya kupiga nyimbo za kuabudu tuuu

Hakuna haja ya kulialia na hao KTN maana hatuna uwezo wa kuwapangia nini waonyeshe
 
Naona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.
Hebu mkumbukeni kwa mazuri aliyofanya
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Ugonjwa mpya ulioingia na ambao kwa bahati mbaya hata wasomi wanauamini ni kuwa kila kifo kinachotokea sasa ni COVID19, kana kwamba magonjwa mengine hayapo, kana kwamba mwanadamu hatakufa kama hakuna magonjwa.

Vv
 
Ni kweli hata mimi nimeshindwa kuendelea kutazama.Maana interview nzima wanazungumza ubaya mtupu. Kwanza wao wanasema direct 100% kuwa Magufuli amekufa kwa Covid-19. Kitu ambacho ni kinyume na taarifa iliyotolewa na mama Samia. Ukiwaangalia hata usoni unaona jinsi wanavyochekelea kifo cha Rais wetu
Hawa wangetakiwa watoe ripoti kama serekali ilivyosema kupitia kwa VP hayo ya corona waachie raia na viblog uchwara...
 
Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19
Kwa hiyo unataka waseme UONGO kama Media za Tz?!!!

Majuzi umma ulitangaziwa kuwa jiwe ni mzima wa afya, yupo bize ofisini anachapa kazi kama kawaida, kumbe UONGO mtupu
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Ifungieni KTN au subiri na wa kwao afe na sisi tubeze
 

MAJI MAJI REBELLION SEASON 2 executed perfectly.

Maji maji season 1 waliambiwa ukijipaka maji risasi za mzungu hazitakuingia. Jamaa kaingia vita na maji kama bulletproof vest. Watu wakauliwa kama nzige

Season 2. Corona ndio hiyo 2020. Wakaambiwa piga nyungu ya limau na ndimu hutapatwa na corona. Ndiye huyo rais jehanamu.

What a time to be alive.

IGNORANCE IS EXPENSIVEView attachment 1728629
Nonsense
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

wapo sahihi, nawaunga mkono. ulitaka wafanye kama mataga?.bwege wewe.
 
Back
Top Bottom