Kenya wanafanya propaganda chafu kwenye msiba wa Rais Magufuli

Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Wanatumiwa na mabeberu
 
NTV, ambao ndio walitoa taarifa za kwanza kwamba Magufuli anaugua wanafanya 'coverage' ya heshima sana. Bonyeza kidude acha kulialia, ukitegemea serikali ya Kenya ifanye jambo kuhusu media za Kenya kwenye tukio ambalo limetokea nchi jirani utangoja sana. Media za Kenya huwa hazimtambui hata rais wao jombaa.
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Mungekuwa wawazi kutangaza hali halisi ya rais wenu, wala hakuna mtu angeshugulika. Lakini kwa sababu vyombo vyenu vya habari zimelemazwa, it's our responsibility as your neighbours to inform you. If it wasn't for Nation Media Group, a Kenyan media house, hamgejua hata kwamba magufuli alikuwa mgonjwa. You should thank us
 
Mkuu, huku kwenye fani yangu kuna kitu tunaita 'legal reasoning' ambayo mara zote ina premises 3, kwa mfano:

*Wachaga wote ni wabahili
* Tarimo ni mchaga
*Kwahiyo...Tarimo ni mbahili.

Tujikite kwenye picha uliyoiambatanisha kwenye comment yako:

*Wote wanne wanaoonekana kwenye picha hii wamefariki dunia.
*Watatu kutangulia kufariki walifariki kwa Covid.
*Wa mwisho kufariki kati yao amefariki kwa ..... (malizia)

Mara zote ile premise ya tatu ambayo ni ya mwisho inatokana na premises mbili zilizotangulia.

Kwahiyo tusiendelee kudanganyana. Tunafahamu Baba yetu amefariki kwa ugonjwa gani. R.I.P JPM.
Relativity n Similarity topics
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Positive zake ni zipi?
 
Mmeshaanza mapropaganda mamaee zenu

The nigga is DEAD

Na wao ku-base kwenye negative unawapangia?Kenya kuna uhuru wa vyombo vya habari sio huku mnawapangia vya kuongea

Pumbavu zenu mamaeee

Hii tabia ya kipumbavu ya kulazimisha vitu kwa watu bado mnaifata,ndio legacy hovyo alizoacha huyu mtu

Mfateni kaburini....

Nenda kalime ujenge hela usaidie nchi GDP....

Blah blah blah,sijui Magufuli this Magufuli that,its done,aongee yeyote chochote who cares?He is gone na mabaya yake zaidi yaongeleweeee
Jema lake ni lipi? Kuwafunga na kuwatesa Wapinzani wake?
 
Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.

Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.

Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.

Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Hat bbc Leo asubuhi ni hovyo kabisa hawa jamaa walipata mbinyo wa nguvu ndio Mana wanaponda kila kitu
 
Ni kweli hata mimi nimeshindwa kuendelea kutazama.Maana interview nzima wanazungumza ubaya mtupu. Kwanza wao wanasema direct 100% kuwa Magufuli amekufa kwa Covid-19. Kitu ambacho ni kinyume na taarifa iliyotolewa na mama Samia. Ukiwaangalia hata usoni unaona jinsi wanavyochekelea kifo cha Rais wetu
taarifa ya kwelii wewe huna haki yakuipata maana ulistahili kuipata akiwa mgojwa yupo hospitalini na kisha taarifa za msiba. Sasa ukiona vitu 2 umevikosa jua utawala huu huna haki kupata izo taarifa
 
Naona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.

Je ni nani aliyekupa wewe mamlaka ya kuhukumu!!!?
 
Watanzania acheni ujuha, yaani mumekaa mnafuatilia media za Kenya, ina maana za kwenu zipo kimya au nini sababu za kuhangaika utumie media za majirani zako kufuatilia yanayoendelea ndani ya nchi yako, unless kama wewe ni Mtanzania unayeishi Kenya, haingii aikilini.
Huu ni muda wa kutafakari wapi mlitegukia, nini cha kurekebisha.
Ujuha ndiyo Nini ? Wewe mjinga na mpumbavu na mshenzi kabisa...sisi tuko kwenye majonzi halafu unasema eti tutafakari tuliteguka wapi?! Kawaulize wazazi wako swali Hilo...waulize nyie baba na mama mliteguka wapi?
 
Ujuha ndiyo Nini ? Wewe mjinga na mpumbavu na mshenzi kabisa...sisi tuko kwenye majonzi halafu unasema eti tutafakari tuliteguka wapi?! Kawaulize wazazi wako swali Hilo...waulize nyie baba na mama mliteguka wapi?

Ujuha ni zaidi ya ujinga, najaribu kuwaza hapa eti nitafute sijui ITV (zingine hata sizikumbuki) ya kwenu ili kufahamishwa kinachoendelea Nairobi hapa, halafu nianze kulalamika nikiona hawatoi taarifa nitakavyo mimi....hehehehe.
Lakini pia msilaumu media maana wenyewe mlichanganya Watanzania, mara mnawaambia rais anachapa kazi ni mzima ni kwamba tu yuko busy sana ndio maana hajitokezi, mara sijui ametuma salamu...yaani halafu leo mnalaumu vyombo vya habari.
 
Ujuha ni zaidi ya ujinga, najaribu kuwaza hapa eti nitafute sijui ITV (zingine hata sizikumbuki) ya kwenu ili kufahamishwa kinachoendelea Nairobi hapa, halafu nianze kulalamika nikiona hawatoi taarifa nitakavyo mimi....hehehehe.
Lakini pia msilaumu media maana wenyewe mlichanganya Watanzania, mara mnawaambia rais anachapa kazi ni mzima ni kwamba tu yuko busy sana ndio maana hajitokezi, mara sijui ametuma salamu...yaani halafu leo mnalaumu vyombo vya habari.
They're a a confused gullible bunch. These are the same idiots that believed there was no coronavirus in tanzania because they prayed. It's really mind boggling how they never question whatever their govt tells them.
 
Back
Top Bottom