Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Naangalia bunge la Kenya ni ukweli usiopingika hata kama hatuupendi wakenya wana katiba bora kabisa mara milioni kuliko katiba ya Tanzania. Sisi kila kitu ni teuzi tu.
Kenya makatibu wakuu wanaomba hiyo nafasi na kujadiliwa na kuchujwa na vyombo husika hata wananchi wanaalikwa kusema kile wanachokijua kama kimefichwa na muombaji na mwisho bunge huitimisha na kumwachia rais ateue mmoja kati ya waliopendekezwa nafasi kama za jaji mkuu,igp dci dpp sio nafasi za kupeana zinaombwa na kujadiliwa na kuchunguzwa kimaadili na vyombo husika kisha hupendekeza majina ya waliokidhi vigezo.
Ili tuwe na utawala bora na watendaji makini ni muhimu upatikanaji wa viongozi ufanyiwe mabadiliko makubwa kuna watu wana uwezo mkubwa na makini wa kufanya kazi lakini kwa mfumo wetu wa kuteuli hawawezi kupatikana ila nafasi hizo ingekuwa zinatangazwa lila mwenye sifa aombe na kuwe na utaratibu wa kuchujana nchi ingepiga hatua kubwa kimaendeleo.
Kuiga katiba ya Eenya kwenye baadhi ya mambo tusione aibu.
Kenya makatibu wakuu wanaomba hiyo nafasi na kujadiliwa na kuchujwa na vyombo husika hata wananchi wanaalikwa kusema kile wanachokijua kama kimefichwa na muombaji na mwisho bunge huitimisha na kumwachia rais ateue mmoja kati ya waliopendekezwa nafasi kama za jaji mkuu,igp dci dpp sio nafasi za kupeana zinaombwa na kujadiliwa na kuchunguzwa kimaadili na vyombo husika kisha hupendekeza majina ya waliokidhi vigezo.
Ili tuwe na utawala bora na watendaji makini ni muhimu upatikanaji wa viongozi ufanyiwe mabadiliko makubwa kuna watu wana uwezo mkubwa na makini wa kufanya kazi lakini kwa mfumo wetu wa kuteuli hawawezi kupatikana ila nafasi hizo ingekuwa zinatangazwa lila mwenye sifa aombe na kuwe na utaratibu wa kuchujana nchi ingepiga hatua kubwa kimaendeleo.
Kuiga katiba ya Eenya kwenye baadhi ya mambo tusione aibu.