Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Ukitazama mpaka wa Tanzania na Kenya ni dhahiri Kenya wana haki ya kutetea eneo la bahari ambalo Somalia wanadai kuwa ni lao. Kama madai ya Somalia ni halali basi hata Kenya wangeweza kuibuka na madai kama hayo dhidi ya Tanzania. Madai kama haya nayafananisha na yale ya Malawi dhidi ya Tanzania. Hakuna mpaka namna hiyo.
Kiroho safi nawashauri Somalia waachane na hii kesi ili kuepuka kuingia kwenye vita isiyo na maana.
Kiroho safi nawashauri Somalia waachane na hii kesi ili kuepuka kuingia kwenye vita isiyo na maana.