Kenya: Wabunge wamtoa mwenzao bungeni kwa kuwa ametokea London hivi karibuni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,009
9,873
Wabunge wa bunge la Kenya wamemtaka mbunge wa Eldas, Adan Keynan aondoke bungeni kwa madai kuwa alikuwa ametoka London

Mbunge wa Endebes, Robert Pukose alimuomba Spika wa bunge, Justin Muturi kumuamuru mbunge huyo atoke ili kulinda afya za wabunge wengine

Spika akawaamuru wabunge ambao wametoka nje ya nchi hivi karibuni kujiweka wenyewe kwenye karantini kwa muda wa siku 14

Katibu mkuu wa Afya, Mutahi Kagwe alithibitisha kuwa hadi sasa tayari watu wanne wamethibitika kuwa na #coronavirus nchini Kenya

=====
There was drama in Parliament on Tuesday as MPs demanded that Eldas MP Adan Keynan leave the House over claims he had just arrived from London.

Endebes MP Robert Pukose rising on a point of order, asked Speaker Justin Muturi to order the MP out for the sake of members’ health.

“The commissioner just arrived from London, for the sake of the health of MPs, I ask you to order him to leave the chamber. This is a serious matter,” Pukose said.

Muturi ordered the Eldas MP out and urged members who travelled recently to self-quarantine for 14 days.

Earlier, Health CS Mutahi Kagwe confirmed another coronavirus case, raising the number to four.

"The latest case was confirmed today at our national influenza laboratory..the patient travelled from London, United Kingdom," Kagwe said on Tuesday.

"Tracing of persons who had been in contact with the person is ongoing."

Addressing the media, Kagwe said tests for two out of the 22 people who were quarantined last week turned positive.
"Confirmed cases are healthy, with no dangerous signs."

Kagwe said everyone coming into Kenya from a country affected by coronavirus must self-quarantine or risk being jailed.

"It is mandatory," he said.

Kagwe said they have so far tested 111 people in Kenya since the pandemic shook the world.
 
Back
Top Bottom