Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,795
- 13,034
Stop being much pesmism bro.Hahaha na wanavyojua kujipendekeza kwenye Kiswahili, iwe lugha yao halafu wakifanye official language of the house 2020 tena mara 1 kwa week? Acheni utani
Halafu Ikumbukwe muongozo wa kuendesha bunge kwa Kiswahili wameutoa Tanzania na baadhi ya kanuni zetu wamezichukua kutoka bunge letu.
Optimistic pays much.
#YNWA