BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,335
- 1,386
Kwanini IMF tunamiliki sisi? Au ni world Bank ndo tunayomiliki?After Zitto's revelations wacha ikae kumbe nyinyi niwapikaji takwimu
Sent from my 4013D using JamiiForums mobile app
Kwanini IMF tunamiliki sisi? Au ni world Bank ndo tunayomiliki?After Zitto's revelations wacha ikae kumbe nyinyi niwapikaji takwimu
Sent from my 4013D using JamiiForums mobile app
Kwa hivyounakubaliana na hii hapaKwanini IMF tunamiliki sisi? Au ni world Bank ndo tunayomiliki?
Mtanzania ''kuikomboa'' Afrika hakumfanyi kupewa vya bure.
Expirience unayo mkuu, nasikia nyie mliolewa kitambo sana na nchi yeyote ile mpaka mkapewa lile jina la shamba la bibi.mwaswast
Nakuona ukiwa ndani ya shela ukiolewa. Usijisikie vibaya tho maana ni nchi nzima mtakua ndani ya shela mkiolewa na wachina.
writework.com ??
Wapi babaa na vile tunachuma humo kwenu usiku na mchaa, madini yanapotea kila uchao nyie mkiwa juu ya wake zenu.mwaswast
Hahahaha soma historia chief. Shamba la Bibi iliitwa hivyo ikimaanisha eneo la kuheshimiwa.
Nyinyi na Zambia mnakua mwembe wa uani, mchina atakula matunda mpaka mbegu na kizazi chenu kitapotea. Leteni utani tu
Report ya IMF babaa lakini najua hutaki kuiona.writework.com ??
Hahahaha, tatizo unapenda picha sana. Fungua imf.org na data.worldbank.org kuna picha pia.Report ya IMF babaa lakini najua hutaki kuiona.
Lakini hapa mnatuona na kuisoma nambamwaswast
Sasa kama hatuwaoni kutokana na weusi wenu tutawazuiaje?
Hivi kuna kiumbe anapenda kukaa juu ya mkewe kuliko mkenya? Odinga na chama tawala walijifanya hawataki kusuluhisha ujinga wao wanawake wakagoma msikae juu yao hadi msuluhishane.
Haukupita mwezi wakakaa chini na kuyamaliza.
A picture is worth a thousand wordsHahahaha, tatizo unapenda picha sana. Fungua imf.org na data.worldbank.org kuna picha pia.
I remember reading this in Wikipedia three years agoA picture is worth a thousand words
View attachment 865181
Hawajui Tanzania tafadhali hawatambui nchi ya giza infact some think Tanzania is a village in the middle of the Congo.