Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Kenya has been ranked the second best investment destination in Africa. Good news. But am wondering; kwani how bad are the rest of African economies?
Bana. Yani Kenya hakuna mambo ya migodi au raslimali nyingi lakini uchumi unapaa tu ata wakati wa corona. Congratulations to Kenya.Sio uchawiiiii.....kwa wale bado hamjafundwa, hii ni kwa ajili ya bidii, kujituma, elimu, uchapa kazi, ujasiri..... tunapiga kazi sio maneno maneno, mikwara huku jitihada zikiwa sifuri.
Majirani acheni uzembe bado mnatajwa kwenye mataifa 28 maskini wa kutupwa jalalani.....ilhali mna raslimali za kila aina, kweli haupewi vyote, aidha uchague raslimali unyimwe ubongo au upewe ubongo unymwe raslimali, hivi hii nchi yetu tungekua na raslimali jameni Afrika ingetukoma.
Hahaha uchaguzi ni two weeks ahead hivyo hizo michezo na figisu ni kawaida... shida inakuja pale uchaguzi ni Two YEARS ahead ila mambo ya figisu yanaanza leo.Ni kitu gani mnaogopa kwa huyu mwanasheria hadi mnajihami kuanzia utosini hadi kwenye nyayo za miguu, mbona msiruhusu wauze sera zao kisha mfunge kwa goli la mikono kama ambavyo huwa mnajisifia.
CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha
Hahaha uchaguzi ni two weeks ahead hivyo hizo michezo na figisu ni kawaida... shida inakuja pale uchaguzi ni Two YEARS ahead ila mambo ya figisu yanaanza leo.
Yani cabinet nzima na top security organs zinapambana na hustler peke yake... lazima dynasties wapinduliwe tu..wapende au wasipende.. its time for fresh blood...
Ndio, huku tuna ambiana ukweli tu point blank.. sasa huko kwenyu hustler anasema dynasties wanashikilia nchi kama vile ni ya baba yao na mama yao inakuwa nongwa! The whole cabinet, deep state & "system " all national security organs are at his neck! Kisa kusema ukweli tu..Huyo jamaa atawapa tabu sana, ndio mara ya kwanza kuona CCM mumekabwaa kooni kihivi, jamaa alikaidi marisasi, mumezuia wapinzani kufanya mikutano kwa miaka miine, sasa siku hizi chache bado mnawabana, ila Lissu akishindwa nahisi upinzani utafutwa kabisa, uchaguzi wenu ni full maigizo tu, yaani hata mkuu wa polisi anamwambia Mbowe bila aibu kwamba hawezi kumshinda jamaa wa CCM.
Kenya has been ranked the second best investment destination in Africa. Good news. But am wondering; kwani how bad are the rest of African economies?
View attachment 1594845
Haha nchi masikini ni ile inayopata food aid. Unapokea msaada wa chakula kutoka Misri..halafu Misri inakuomba uiunge mkono kwenye mpango wa kusimamisha uzalishaji wa umeme Ethiopia..na huko Ethiopia ndio mnategemea wawauzie umeme! ....mamaeee.. hapo ndio utajua njaa haina adabu... anaekupa msosi ndio anaekupangia cha kufanya.Kwani magufuli ndiye wa kwanza kuomba hii dunia?
And why hasn't magufuli played for your economy to avoid being named among the poorest countries on earth.
Did Christianity originate from magufuli? View attachment 1595130
Huyo jamaa atawapa tabu sana, ndio mara ya kwanza kuona CCM mumekabwaa kooni kihivi, jamaa alikaidi marisasi, mumezuia wapinzani kufanya mikutano kwa miaka miine, sasa siku hizi chache bado mnawabana, ila Lissu akishindwa nahisi upinzani utafutwa kabisa, uchaguzi wenu ni full maigizo tu, yaani hata mkuu wa polisi anamwambia Mbowe bila aibu kwamba hawezi kumshinda jamaa wa CCM.
Kwani magufuli ndiye wa kwanza kuomba hii dunia?
And why hasn't magufuli played for your economy to avoid being named among the poorest countries on earth.
Did Christianity originate from magufuli? View attachment 1595130
Tanzania wanapewa msaada wa budget, hamlipi madeni na mko among the poorest nations on earth.tukisema wewe ni mbuzi unarusha mawe.
economy sio namba kubwa kama za kenya,ni maisha ya mtu mmoja mmoja.kiwa na uchumi mkubwa na unapewa chakula cha msaada hiyo nayo ni aina na upuuzi mwingine.
kwa domo domo tumewazoea hamna jipyaHuo ni uchumi wa makaratasi....nairobi yenyewe haina maji safi!
Ndio, huku tuna ambiana ukweli tu point blank.. sasa huko kwenyu hustler anasema dynasties wanashikilia nchi kama vile ni ya baba yao na mama yao inakuwa nongwa! The whole cabinet, deep state & "system " all national security organs are at his neck! Kisa kusema ukweli tu..
Jayden anaukimbia ukweli, it's a no secret how his family have looted and accumulate the national resources for his own, pia na huyo odinga plus Gideon..ni wanakula kama mchwa. Hiki kizazi cha sasa kinaona yote hayo. Vile wanakosa kazi, maisha magumu hakuna good shelter wako kwa slums..three quarters ya arable land iko inamilikiwa na wachache..hawahitaji Ruto kuwaambia hayo..wako wanaona kwa macho yao. Solution sio kutumia security organs na intimidation ili kum-silence hustler..hapo ni kuondoa gap between the society bhas..sio kuleteana vitendawili..
Matiang'i nae anakubali kuingia kwenye huo mchezo mchafu..he'll come out dirty..awaachie hao manyamera ndio wanawezana. Na saivi mtachapana haswa maana kwa position ya hustler yuko na security clearance kubwa hivyo anapata info za kutosha na yuko na "watu" kila area hivyo muangalie sana..nadhani mnamjua hustler sio mtu wa maneno maneno..akiingia road na mbogi yake hata mungiki watapoteana..
Hii inawezekana na ni ukweli kutokana na ujenzi wa miundombinu bora iliyojengwa na kibaki na waasisi wengine. Kwa sasa projects za Uhuru faida zake hazionekani ila zitakuja kuonenaka.Kenya has been ranked the second best investment destination in Africa. Good news. But am wondering; kwani how bad are the rest of African economies?
View attachment 1594845