Lowasa na wenzako leo ndio mnasikia kuhusu ujenzi huo?leo ndio mnamshtuka kuwa kia itakufa siyo?wakati Kamara aliposhauri juu kuangalia na kuboresha viwanja vyetu ukiwemo KIA ninyi hamkuwa kwenye system?au sasa hivi mnatafuta umaarufu ambao ulishatoweka?kenya airways wanafanya biashara kubwa sana nbi to mbs trip zisizopungua 6 kila siku na ndege zinajaa nauli zao nasikia siyo ghali sana.Hivi wakiomba njia ya nbi, kia, dar hadi mbs si mtawanyima?kwani mkiwapa tu shirika letu la ndege kirombo litakuwa mashakani.