Kenya: Takribani watu milioni 26 wataabika kupata chakula kutokana na ukame

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Takriban watu milioni 26 wanatatizika kupata chakula kufuatia misimu duni ya mvua mfululizo katika Pembe ya Afrika.

Hali ya ukame kaskazini mwa Kenya, sehemu kubwa ya Somalia na Kusini mwa Ethiopia inatabiriwa kuendelea hadi angalau katikati ya mwaka ujao, na kuweka maisha ya watu wengi hatarini.

Tayari hali ni mbaya sana, wanyama pori wanakufa kwa mamia yao na wafugaji wanaripoti hadi 70% ya vifo vya mifugo
 
Takriban watu milioni 26 wanatatizika kupata chakula kufuatia misimu duni ya mvua mfululizo katika Pembe ya Afrika.

Hali ya ukame kaskazini mwa Kenya, sehemu kubwa ya Somalia na Kusini mwa Ethiopia inatabiriwa kuendelea hadi angalau katikati ya mwaka ujao, na kuweka maisha ya watu wengi hatarini.

Tayari hali ni mbaya sana, wanyama pori wanakufa kwa mamia yao na wafugaji wanaripoti hadi 70% ya vifo vya mifugo
Source Ni iyo akili yako Mavi.
 
Nyuzi kama hizi wakenya wanazikalia mbali
nikushangaa tuu,sasa hizi ndizo story mtanzania mzima anaweza kaa tu akapost!!!ufala mwingine bana nkt
Mbona hujaskia mkenya yeyote ambaye amepost vitu kama ukame uliouwa ngombe maelfu huko Tanzania,na ni juzi tu!!
Sasa mathumuni ya kupost takataka kama hii ni gani???
 
nikushangaa tuu,sasa hizi ndizo story mtanzania mzima anaweza kaa tu akapost!!!ufala mwingine bana nkt
Mbona hujaskia mkenya yeyote ambaye amepost vitu kama ukame iliouwa ngombe maelfu huko Tanzania,na ni juzi tu!!
Sasa mathumuni ya kupost takataka kama hii ni gani???
Kenya na njaa huwezi kuitenganisha, hii sio habari ngeni kuja hapa hili ni tatizo ambalo ni la kudumu
 
kama sio tatizo geni basi mbona mtu ashinde akililiongelelea na hana suluhu,its a nonsensical post!
Huwezi ukakwepa ngumi ya uso kwa kufumba macho, huwezi ukasema kwakua huna suluhu basi kukaa kimya ndio suluhu

Kama mnavyopata nguvu kuongelea maendeleo yenu basi hata mapungufu yenu pia hamtakiwi kuyafumbia macho, changamoto ndio kipimo cha ukomavu
 
Huwezi ukakwepa ngumi ya uso kwa kufumba macho, huwezi ukasema kwakua huna suluhu basi kukaa kimya ndio suluhu

Kama mnavyopata nguvu kuongelea maendeleo yenu basi hata mapungufu yenu pia hamtakiwi kuyafumbia macho, changamoto ndio kipimo cha ukomavu
sasa suluhu ya ukame ni gani??its a nutural disaster na serikali imejaribu yake yote kusaidia na chakula ya msaada Kenya nzima
 
nikushangaa tuu,sasa hizi ndizo story mtanzania mzima anaweza kaa tu akapost!!!ufala mwingine bana nkt
Mbona hujaskia mkenya yeyote ambaye amepost vitu kama ukame uliouwa ngombe maelfu huko Tanzania,na ni juzi tu!!
Sasa mathumuni ya kupost takataka kama hii ni gani???
Uhuru wa kujieleza uheshimiwe, kila mtu snayohaki ya kupost lolote analolitaja, hamjakatazwa kupost hiyo habari ya Ng'ombe waliokufa kwa ukame Tanzania, tafadhali iweka hiyo habari na hakuna mtanzania atakayelalamika, wacha kulalamika badala yake anzenu juhudi za kuzalisha chakula ili kuepukana na aibu ya njaa
 
sasa suluhu ya ukame ni gani??its a nutural disaster na serikali imejaribu yake yote kusaidia na chakula ya msaada Kenya nzima
Suluhu ya ukame ni kilimo cha umwagiliaji, serikali ya Kenya lazima ijue vipaumbele muhimu, badala ya kukimbilia kujenga "white elephants projects" Kama Lamu port, SGR. Isiolo and other useless Airports ambazo sio muhimu kwasasa ukilinganisha na kilimo cha umwagiliaji.
 
Back
Top Bottom