KENYA: Spika wa Bunge atupia mbali muswada wa kumng'oa Jaji Maraga na Makamishna wa Mahakama kuu

Gullam

JF-Expert Member
Dec 1, 2013
5,240
3,931
Wanabodi wasaalam,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nadhani kitu kilichokuwa kinasubiliwa kwa hamu kubwa, nadhani na mahakama zote za east afrika ni kuhusu huo mswaada uliowakilishwa na mwansheria mkuu wa Kenya.

Wengi waliusubilia kama kipimo cha bunge juu ya muhimili mwingine, na vilevile niseme huenda hata wabunge wa CCM walikuwa wanasubili kwa hamu ili ije kuwa ngao ya kuwatisha mahakimu pamoja na majaji ili kulinda maslahi ya kwao na chama chao.

Lakini kwa upande wangu nilichukulia kama kipimo cha walio wengi bungeni dhidi ya wachache. Na nilienda mbali nikijua kuwa, kwa kuwa juzi kati Rais Kenyata aliteua makamishina wapya wa mahakama kuu, nikajua wazi nimpango uliopangwa kabla.

Kwahiyo matarajio yangu nikajua utapita kwa wingi wa kura na kufanya ukawa mwisho wa zama za jaji ambaye hatakujakusahaulika kwenye historia hapa duniani, Mh Jaji Malaga.

Niliudhunika sana, kwamba sasa tunakwenda kuondoa nguvu za mahakama kwa kutumia wanasiasa waliojificha kwenye bunge. Mpaka ninavyoandika hii thread siamini kilichotokea Kenya.

Hakika sina budi kumsifu Spika wa bunge kwa kutumia kiti chake vizuri, na kujua madhara ya maamuzi yake kwa wananchi wa Kenya, amejali sana maisha ya wengine kuliko mwisho wake.

Sijui kwa spika wetu Ndugai atakuwa amejifunza nini, maana nikinukuu jinsi alivyoendesha mchakato wa wabunge wa east afrika nabaki kushikwa na butwaaa tu!!
Lakini Mungu yupo na upande wa wateswao ili aje adhihilike.

Sina mengi ila sijui nani atakuja kumsahau Spika wa bunge la Kenya kwa maamuzi yalioyotukuka.

Mungu amzidishie hekima na maarifa ili aweze kuliendesha bunge kwa maslahi ya wananchi.

Akhsanteni.
 
Labda Tulia; ila Ndugai anaugulia maradhi nje ya nchi Mkuu; sidhani kama atakuwa na taaifa zozote za suala hili - TUMWOMBEE MWENYEZI MUNGU AMFANYIE WEPESI.
 
Mkuu; regulator namba moja wa yote mazuri yanayotokea Kenya kwa sasa sio Rais, wala Spika, wala jeshi la polisi, au sijui nani. Yote hayo ni kwa sababu wana kitu kinaitwa Katiba Bora - KATIBA, KATIBA, KATIBA. Mengine baadaye.
 
Wakenya wameendelea kutuzidi...kielimu,kimisimamo,kidemokrasia nk. Bora tungepata mtu anayeweza kutuinua kielimu,kidemokrasia ndipo mengine yaje!
Msomi wa Kenya ni tofauti sana na hawa wetu,Professa mzima kutokana na nafasi aliyopewa anatoa kauli zinazopingana bila haya!! Usomi gani huo?? Rejea pilofesa kabud akiwa tume ya katiba na akiwa waziri!!
 
Labda kwa sababu spika hana mahaba na yeyote maana hana chama ndani ya bunge
 
Wakenya wameendelea kutuzidi...kielimu,kimisimamo,kidemokrasia nk. Bora tungepata mtu anayeweza kutuinua kielimu,kidemokrasia ndipo mengine yaje!
Msomi wa Kenya ni tofauti sana na hawa wetu,Professa mzima kutokana na nafasi aliyopewa anatoa kauli zinazopingana bila haya!! Usomi gani huo?? Rejea pilofesa kabud akiwa tume ya katiba na akiwa waziri!!
wewe unasubiri nini sasa hapa tz si uhamie huko kwani kuna mtu aliyekukataza!!! unalilia vitu vya jirani una akili kweli...nadhani jirani hata akikuomba marinda utampa bila shaka
 
wewe unasubiri nini sasa hapa tz si uhamie huko kwani kuna mtu aliyekukataza!!! unalilia vitu vya jirani una akili kweli...nadhani jirani hata akikuomba marinda utampa bila shaka
tatizo lako umekosa malezi nahisi ulidhulumiwa kimapenzi toka utotoni ndiomana hoja ya comparison KE na TZ ww unawaza shithole. Pole sana kwa ushoga wako,tafuta psychologist utasaidika mabasha watakuteketeza namimi sio bsha
 
wewe unasubiri nini sasa hapa tz si uhamie huko kwani kuna mtu aliyekukataza!!! unalilia vitu vya jirani una akili kweli...nadhani jirani hata akikuomba marinda utampa bila shaka
Ficha upumbavu wako
 
Mkuu; regulator namba moja wa yote mazuri yanayotokea Kenya kwa sasa sio Rais, wala Spika, wala jeshi la polisi, au sijui nani. Yote hayo ni kwa sababu wana kitu kinaitwa Katiba Bora - KATIBA, KATIBA, KATIBA. Mengine baadaye.
Katiba inaweza kuwa bora issue ikawa kwa anayesimamia Katiba
 
Katiba inaweza kuwa bora issue ikawa kwa anayesimamia Katiba
Ni kweli usemayo ila kimsingi KATIBA BORA ni lazima iweke measures za kukabiliana na changamoto kama hizo; vinginevyo kiwango cha ubora wake kinakuwa hakijakamilika.
 
Back
Top Bottom