joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wakenya wanajiuliza, iwapo afisa wa POLISI anauliwa kinyama mchana, je usalama wa raia nyakati za usiku utakuwaje?.
Japo matokeo ya mauaji kama haya hutokea katika nchi nyingi duniani, lakini kuna nchi ambazo zimepitisha kiwango cha wastani, nchi kama Kenya, South Africa, Brazil na Nigeria, ni hatari kwakweli.
Huwa nikifika Kenya, ninajifungia ndani muda wote kusubiri siku ya kurudi nyumbani Tanzania, nchi iliyopo namba 7 Africa kwa amani. Tangu nimezaliwa sijawahi kusikia mlio wa bunduki, wala kuona mwili wa mtu aliyeuliwa.