Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mimi naona naanza kujenga chuki na serikali tena kwa kasi ya ajabu.
Tena inawezekna hata nchi jirani zinatumia pressure groups kuingiza mambo yaliyo na interest kwao katika sera zetu.Pia mimi naona hata kuna jambo ambalo hata usalama wa taifa unabidi uliangalie sana,hili suala la kujenga airport karibu na kwetu linaweza kuwa more than tourism strategy!
Tena inawezekna hata nchi jirani zinatumia pressure groups kuingiza mambo yaliyo na interest kwao katika sera zetu.Pia mimi naona hata kuna jambo ambalo hata usalama wa taifa unabidi uliangalie sana,hili suala la kujenga airport karibu na kwetu linaweza kuwa more than tourism strategy!