Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 16,706
- 11,391
Na wale wanaotumia pesa vizuri kujiendeleza iweje bado wamekwama katika like tope LDC? Au bado wanakomboa Africa?Hizi ndoto zenu za kujipa matumaini ya hovyo ndizo zinazoifanya Kenya kuingia katika matatizo kila siku. Viongozi wenu wanatumia pesa hovyo kama kupeleka delegation kubwa kuliko nchi zote duniani huko USA, hata wakati wa kombe la dunia huko Urusi, wabunge wenu wengi sana walienda kwa pesa za serikali, badala ya kuzungumzia mambo hayo ili pesa zitumike vizuri, mnafikiria mambo ambayo hayana dalili zozote kufanyika.