Kenya sasa inanunua mahindi kutoka Tanzania mara sita zaidi ya kiwango ilichokuwa ikinunua hapo awali

Kuna wale Malazy waliopinga safari ya rais Samia Suluhu kuja Kenya. Walisema kwamba rais Samia hapaswi kuja Kenya na alistahili kuendeleza roho mbaya na mikwaruzano aliyoanzisha mwendazake ambaye sitamtaja hapa. Lakini cha kushangaza ni kwamba baada ya rais Suluhu kutembea Kenya, sasa Kenya inanunua mahindi mara sita (×6) zaidi ya jinsi tulivyokuwa tukifanya hapo awali.
Kukupa tu mfano wa haraka, Mwezi wa April Kenya iliagiza gunia 16,137 za mahindi kutoka Tanzania. Baada ya rais Samia kutembea Kenya basi mwezi wa Mei Kenya iliagiza gunia 118,329 za mahindi kutoka Tanzania. Ongezeko hilo la kishindo la mwezi wa Mei ni karibu mara kumi ya agizo la mwezi wa April. Sasa wewe mwenyewe hebu fikiria ni vipi Kenya inaweza kuongeza agizo lake la mahindi kutoka Tanzania kwa zaidi ya mara sita au saba ndani ya kipindi cha mwezi moja. Bila shaka vita vya Magufuli viliumiza wakulima wenu na kuwanyima pesa nyingi sana. Bila shaka wanaofaidika sasa ni wakulima wa mahindi wa Tanzania. Hapa Kenya tunakula ugali sana na nchi yetu sehemu kubwa ni jangwa. Ujirani mwema baina yetu utawafaidi nyinyi majirani kwa sana maana nyinyi mnazalisha chakula na sisi tunanunua. Tujengane sio kutukanana na kufungiana mipaka kama alivyopenda kufanya mwendazake ambaye alikuwa na isolationist mindset, yaani alipenda kujifungia na kukataa kushiriki na majirani wenzake.

Wanaotaka kusoma taarifa kwa kiingereza, hii hapa chini.
MY TAKE:
Zezetas word kununuwa can also be viewed as i.e donation, wadanganyika is a donor or should be a donor country.
 
Kuna wale Malazy waliopinga safari ya rais Samia Suluhu kuja Kenya. Walisema kwamba rais Samia hapaswi kuja Kenya na alistahili kuendeleza roho mbaya na mikwaruzano aliyoanzisha mwendazake ambaye sitamtaja hapa. Lakini cha kushangaza ni kwamba baada ya rais Suluhu kutembea Kenya, sasa Kenya inanunua mahindi mara sita (×6) zaidi ya jinsi tulivyokuwa tukifanya hapo awali.
Kukupa tu mfano wa haraka, Mwezi wa April Kenya iliagiza gunia 16,137 za mahindi kutoka Tanzania. Baada ya rais Samia kutembea Kenya basi mwezi wa Mei Kenya iliagiza gunia 118,329 za mahindi kutoka Tanzania. Ongezeko hilo la kishindo la mwezi wa Mei ni karibu mara kumi ya agizo la mwezi wa April. Sasa wewe mwenyewe hebu fikiria ni vipi Kenya inaweza kuongeza agizo lake la mahindi kutoka Tanzania kwa zaidi ya mara sita au saba ndani ya kipindi cha mwezi moja. Bila shaka vita vya Magufuli viliumiza wakulima wenu na kuwanyima pesa nyingi sana. Bila shaka wanaofaidika sasa ni wakulima wa mahindi wa Tanzania. Hapa Kenya tunakula ugali sana na nchi yetu sehemu kubwa ni jangwa. Ujirani mwema baina yetu utawafaidi nyinyi majirani kwa sana maana nyinyi mnazalisha chakula na sisi tunanunua. Tujengane sio kutukanana na kufungiana mipaka kama alivyopenda kufanya mwendazake ambaye alikuwa na isolationist mindset, yaani alipenda kujifungia na kukataa kushiriki na majirani wenzake.

Wanaotaka kusoma taarifa kwa kiingereza, hii hapa chini.
Njaa hua haivumiliki, tulijua tu it's a matter of time mtaachiia...
 
Hujui mahindi yalikuwa yanunuliwa wapi na nchi ya Kenya muda wote huo wa chokochoko za mwendazake? Yalikuwa yanafika bandarini Mombasa kwa wingi kutoka Brazil, Mexico na S.A. Tena kwa bei nafuu bila gharama zozote za ziada. Ndio kiburi cha aliye na hela mfukoni.

Hivi unajua pesa kiasi gani nchi yenu imepoteza kwa kununua mahindi toka Americas!!??
 
COVID-19 imekuwa ya faida kwa wakulima wenu, sio siri. Yaani ilivyomuondoa tu yule mwendazake mzee wa mikwara, mliependa kumsifia humu, wananchi wenzenu sasa wameanza kujihisi kama watanzania. Angalau sasa wanapata senti kadhaa za ziada za kuwawezesha kuishi kama binadamu. Sio mashetani tena kama mlivyokuwa mmewapangia nyie mataga na roho zenu nyeusi.
Wakenya msije kuomba siku waziri mkuu ashike hii nchi yule hana kurudi nyuma kwa vitimbi kama mlivyo kuwa mnamletea magufuli sasa hivi anajifanya mjinga hadi ili kanyanga likilopo Ikulu liondoke madarakani
 
Huo mpango utafsiriwe kwa vitendo.
Hatuwezi kubali kuuwa viwanda vyetu ili kuwafurahisha nyie. Haiwezekani. Aidha mtuuzie mahindi au tununue pahali pengine. Hatununui unga kutoka kwenu kamwe.
 
Hatuwezi kubali kuuwa viwanda vyetu ili kuwafurahisha nyie. Haiwezekani. Aidha mtuuzie mahindi au tununue pahali pengine. Hatununui unga kutoka kwenu kamwe.

Dawa ni simple tu. Kila mtu ashinde mechi za nyumbani kwake.
 
Dawa ni simple tu. Kila mtu ashinde mechi za nyumbani kwake.
Sasa kama kila mtu akae kwake mbona mlituma rais wenu Suluhu aje huku kutupigia magoti? Mbona hujaona rais Uhuru akija huko kwenu? Nyinyi ndio mnatuhitaji zaidi.
 
Sasa kama kila mtu akae kwake mbona mlituma rais wenu Suluhu aje huku kutupigia magoti? Mbona hujaona rais Uhuru akija huko kwenu? Nyinyi ndio mnatuhitaji zaidi.

Kwa hiyo nyie mnajitosha kwa kila kitu. Hamhitaji kitu kutoka Tanzania.
 
Umesema hutamtaja ila mpaka umemtaja

Vyovyote iwavyo si jambo la kufurahia hata kidogo mtu kutunga sera ambazo zinaathiri maisha ya watu wa chini (wakulima wanabakI na mahindi) soko la ndani limejaa matokeo yake ni mahindi kuharibika au wauze kwa bei mbuzI

Ni mkosa akili tu ndio atafurahia kuona hilo kwa ndugu zake. Mtu kalima mtengenezee mazingira auze popote pale sio kuweka vikwazo visivyo na kichwa wala miguu kwa ugomvi hata usioeleweka
Lilisaidia bei kutopanda.mnajua wakenya wana njaa sana watanunua kwa bei yoyote sasa sisi wa tz ndio tutakao umia wakulima na madalali wao hawatoumia.
Msione miili yao miembamba na wanakimbizana na fursa za riadha ulaya wana njaa hatari.
 
Lilisaidia bei kutopanda.mnajua wakenya wana njaa sana watanunua kwa bei yoyote sasa sisi wa tz ndio tutakao umia wakulima na madalali wao hawatoumia.
Msione miili yao miembamba na wanakimbizana na fursa za riadha ulaya wana njaa hatari.
fala www Unaweza kimbia marathon ukiwa Njaa???Spoilt brat like you hizo ndizo mafikira zako,Najua hata Huwezi kimbia 1km Kama hujakufa🙈Kujazana na Vitambi Kazi kula Bata na Konyagi
 
Wewe au Mimi tunanufaika vipi na hii Biashara?

Wacha maneno ya me vs you tuweke pesa mfukoni .

Mtanzania Kodi fuso koboa mpunga gunia 200 pata mchele chukua na gunia Mia za mahindi peleka Kenya.

We mkenya Kodi Isuzu njoo nayo mpaka (Sirali, Namanga, Tarakea, Holili, Horohoro) chukua mahindi au mchele nenda kauze kenya.

Tuache blah blah
 
Wewe au Mimi tunanufaika vipi na hii Biashara?

Wacha maneno ya me vs you tuweke pesa mfukoni .

Mtanzania Kodi fuso koboa mpunga gunia 200 pata mchele chukua na gunia Mia za mahindi peleka Kenya.

We mkenya Kodi Isuzu njoo nayo mpaka (Sirali, Namanga, Tarakea, Holili, Horohoro) chukua mahindi au mchele nenda kauze kenya.

Tuache blah blah
Asante. Nakubaliana nawe.
 
Watu kama ww ni mapungu kweli, unaanzaje kumwita Mh. JPM ( may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏 amen) eti ana roho mbaya! Mtu aliyehimiza watz wafanye kazi kwa kujituma zaidi ili majirani zake wote waliojifungia kwenye lockdown watakapo funguliwa wakiwa na njaa tuwauzie vyakula!?
Kama asingehimiza hizo safari za SSH zingepeleka maneno tu!? Hayo mahindi meeeengi mnayosifia yanaingia kenya toka Tz yangepatikanaje😜!? Ww kweli unaudumavu wa akili na ubongo!? Mafanikio haya nayo ni matunda ya kazi nzuri iliyotukuka ya Mh. Dr. JPM, rais wetu mpendwa sana, na shujaa wetu watz na waafrika!
Maono yake bado yanalibeba taifa🙏!
Tutakukumbuka daima shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM 🙏😭!
Kuna wale Malazy waliopinga safari ya rais Samia Suluhu kuja Kenya. Walisema kwamba rais Samia hapaswi kuja Kenya na alistahili kuendeleza roho mbaya na mikwaruzano aliyoanzisha mwendazake ambaye sitamtaja hapa. Lakini cha kushangaza ni kwamba baada ya rais Suluhu kutembea Kenya, sasa Kenya inanunua mahindi mara sita (×6) zaidi ya jinsi tulivyokuwa tukifanya hapo awali.
Kukupa tu mfano wa haraka, Mwezi wa April Kenya iliagiza gunia 16,137 za mahindi kutoka Tanzania. Baada ya rais Samia kutembea Kenya basi mwezi wa Mei Kenya iliagiza gunia 118,329 za mahindi kutoka Tanzania. Ongezeko hilo la kishindo la mwezi wa Mei ni karibu mara kumi ya agizo la mwezi wa April. Sasa wewe mwenyewe hebu fikiria ni vipi Kenya inaweza kuongeza agizo lake la mahindi kutoka Tanzania kwa zaidi ya mara sita au saba ndani ya kipindi cha mwezi moja. Bila shaka vita vya Magufuli viliumiza wakulima wenu na kuwanyima pesa nyingi sana. Bila shaka wanaofaidika sasa ni wakulima wa mahindi wa Tanzania. Hapa Kenya tunakula ugali sana na nchi yetu sehemu kubwa ni jangwa. Ujirani mwema baina yetu utawafaidi nyinyi majirani kwa sana maana nyinyi mnazalisha chakula na sisi tunanunua. Tujengane sio kutukanana na kufungiana mipaka kama alivyopenda kufanya mwendazake ambaye alikuwa na isolationist mindset, yaani alipenda kujifungia na kukataa kushiriki na majirani wenzake.

Wanaotaka kusoma taarifa kwa kiingereza, hii hapa chini.
 
Back
Top Bottom