ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,833
- 27,254
Kipi ambacho Rostam hajawahi semwa na bado ana dunda?Sasa huyo 'Samjo Samjo' Rostam Aziz akitema hayo Madini kwa Kuongea hivyo hapo Ukumbini Nairobi 'Practically' ina Tija ipi ( gani ) kwa Maendeleo ya Tanzania yetu hii?
Usitake tu Kutulazimisha tuseme yake.