Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Hii nchi ndogo ya Kenya inaogopwa hata na Wazungu. Wakenya kwa kutafuta pesa ni hatari sana. Sasa wanafunzi lazy wa Marekani ambao hawataki kufanya homework huwa wanatuma homework huku Kenya ili vijana wa Kenya wawasaidie kufanya homework yao. Hata mitihani pia Wakenya wanafanya kwa niaba ya Wazungu malazy. Halafu Wakenya wanalipwa pesa ndefu mno. Hata nyinyi malazy wa kusini mkitaka mnaweza kutuma mitihani yenu Kenya ili msaidiwe kufanya mtihani ila pesa yenu ya madafu itabidi mtoe pesa nyingi sana.