GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Katika kile kinacho jionyesha kwamba madaktari wa nchi za Afrika Mashariki wamedhamiria kuteketeza maisha na roho za wananchi. Nchi jirani ya Kenya napo mgomo wa madaktari uliodumu takriban kwa wiki sasa unaendelea. Na waziri wa Afya wa Kenya Prof. Anyangnyo amewatishia madaktari kuwafukuka kazi endapo leo wasipo ripoti vituo vyao vya kazi. Je hii ni kusema ni migomo ya madaktari ni vuguvugu lakuonyesha mshikamano wao? Sources: -KBC -ITV Habari saa 2 usiku tarehe 06.03.2012