Momboi Reece
Member
- Sep 16, 2018
- 30
- 15
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020