Kenya na tanzania

Momboi Reece

Member
Sep 16, 2018
30
15
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020
 
I am South African, I don't think if there is any competition between Kenya and Tanzania. I see Kenyans minding their own bizniz, not until these lazy lowlifes from the neighbouring country want to drag them in to the gutter.

I am Namibian, The Only problem I see is Kenyans being too arrogant and thinking they are developed that they can look down at other African Countries,
What I appreciate most from Tanzanians is that they are humble, kind and honest people, They tell thing as they are, out of emotions, they even revealed how Nairobi has the largest slum in the whole universe. I thought Kenya was very developed until I saw some of the videos of the Real life in Nairobi that were shared by some Tanzanians.
 
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
Whats with our obsession with each other?! I mean Really!
Kwanini tusilinganishe na best practices ama malengo yetu? Utaskia daraja refu AMK (afrika mashariki na kati), mara airport nzuri kuzidi zote AMK, mara ghorofa refu AMK, mara class one this and that .......... i consider all these to be feel good statements which dont really mean anything.
My personal opinion
Lets say If Tanzania decided to build a cable stayed six lane bridge over point A and B to serve her citizens for a projected period of 50 years, now what usually happens on jf on threads similar to this (which i dont understand) is why would anyone see the need to compare it to another cable stayed bridge in another region or country for that matter as if they were buit side by side to serve the same purpose the same way?!
 
Am Congolese from Mai Ndombe, kanda ya nini juu yenu ba Tanzania na Kenya, Hakuna fasi ile inabamba zaidi ya Kinshasa muye muone wenyewe. Sisi tutaendelea kuwaburudisha na music yetu mukuje kwa show. Don't fight each others guys, you are Just wasting your energy over nothing! After all nyie iko dugu moya.
 
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo hautoi suluhisho la matatizo yetu ni upumbavu
Tanzania iko na matatizo yake ambayo watanzania wenyewe ndio wenye uwezo wa kuyatatua vivyo hivyo pia kenya
Ni wakati wakufungua macho na kutafuta suluhisho la matatizo yanayokumba nchi zetu si ushindani wakijinga usio na faida yoyote
HAPPY 2020

Ccm fvcks Tanzania

Until then,Kenya itaendelea ku dominate this region mpaka mwisho wa dunia

Wanaokuja kubishana hapa sio Watanzania,ni wana CcM punguani,nobody else!
 
Am Congolese from Mai Ndombe, kanda ya nini juu yenu ba Tanzania na Kenya, Hakuna fasi ile inabamba zaidi ya Kinshasa muye muone wenyewe. Sisi tutaendelea kuwaburudisha na music yetu mukuje kwa show. Don't fight each others guys, you are Just wasting your energy over nothing! After all nyie iko dugu moya.

Hahaha, we falla sio mkongo ,

Nimeikubali sleng yako mkuu
 
Whats with our obsession with each other?! I mean Really!
Kwanini tusilinganishe na best practices ama malengo yetu? Utaskia daraja refu AMK (afrika mashariki na kati), mara airport nzuri kuzidi zote AMK, mara ghorofa refu AMK, mara class one this and that .......... i consider all these to be feel good statements which dont really mean anything.
My personal opinion
Lets say If Tanzania decided to build a cable stayed six lane bridge over point A and B to serve her citizens for a projected period of 50 years, now what usually happens on jf on threads similar to this (which i dont understand) is why would anyone see the need to compare it to another cable stayed bridge in another region or country for that matter as if they were buit side by side to serve the same purpose the same way?!

Dah! Wee jamaa unakuaga so unbiased, napenda sana hoja zako pande zote mbili, ipo siku tutakuiga.
 
Whats with our obsession with each other?! I mean Really!
Kwanini tusilinganishe na best practices ama malengo yetu? Utaskia daraja refu AMK (afrika mashariki na kati), mara airport nzuri kuzidi zote AMK, mara ghorofa refu AMK, mara class one this and that .......... i consider all these to be feel good statements which dont really mean anything.
My personal opinion
Lets say If Tanzania decided to build a cable stayed six lane bridge over point A and B to serve her citizens for a projected period of 50 years, now what usually happens on jf on threads similar to this (which i dont understand) is why would anyone see the need to compare it to another cable stayed bridge in another region or country for that matter as if they were buit side by side to serve the same purpose the same way?!
I support you
 
Unaweza ku verify scientifically kwamba sentient human being nime-go biological change na kua Nyumbu?

Wewe mammalia tumia akili vizuri!

Usijifanye unajua kubatiza watu specie groups zisizo wahusu!

Stop this nonsense!
Dah, watz huwa wana ubaguzi mkali sana wa kisiasa. Nadhani ni madhara ya kutawalwa na chama kimoja kwa muda mrefu Wakenya wanaelewa kwamba leo unaweza ukawa kwenye upinzani kesho uunge mkono chama tawala. Kwa mfano waliomsupport rais Uhuru mara ya kwanza alipowania urais 2002 na akashindwa na Mwai Kibaki walibaki kwenye upinzani. Kisha uchaguzi uliofata 2007 chama chao na U.K. wakamsupport Mwai Kibaki dhidi ya Raila Odinga. Yaani kuwa kwenye upinzani huwa haichukuliwi kama kukosa uzalendo. Infact wengi wa wanaounga mkono chama tawala huwa wanaheshimu na wanaelewa jukumu ambalo huwa linatimizwa na upinzani. Mfano mzuri ni Raila Odinga ambaye ushawishi na appeal yake huwa ni zaidi ya uungwaji mkono wake kisiasa.
 
Dah, watz huwa wana ubaguzi mkali sana wa kisiasa. Nadhani ni madhara ya kutawalwa na chama kimoja kwa muda mrefu Wakenya wanaelewa kwamba leo unaweza ukawa kwenye upinzani kesho uunge mkono chama tawala. Kwa mfano waliomsupport rais Uhuru mara ya kwanza alipowania urais 2002 na akashindwa na Mwai Kibaki walibaki kwenye upinzani. Kisha uchaguzi uliofata 2007 chama chao na U.K. wakamsupport Mwai Kibaki dhidi ya Raila Odinga. Yaani kuwa kwenye upinzani huwa haichukuliwi kama kukosa uzalendo. Infact wengi wa wanaounga mkono chama tawala huwa wanaheshimu na wanaelewa jukumu ambalo huwa linatimizwa na upinzani. Mfano mzuri ni Raila Odinga ambaye ushawishi na appeal yake huwa ni zaidi ya uungwaji mkono wake kisiasa.
Katika siasa wakenya kaeni kimya kabisa, Kenya hakuna siasa yoyote ni ukabila mtupu, (No political ideology, what exists in Kenya is tribe pilitics), iliyotawaliwa na kabila tatu tu, Kikuyu, Kalenjin na Jaluo, kama haupo ktk kabila hizo, sahau kuwa rais wa Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, watz huwa wana ubaguzi mkali sana wa kisiasa. Nadhani ni madhara ya kutawalwa na chama kimoja kwa muda mrefu Wakenya wanaelewa kwamba leo unaweza ukawa kwenye upinzani kesho uunge mkono chama tawala. Kwa mfano waliomsupport rais Uhuru mara ya kwanza alipowania urais 2002 na akashindwa na Mwai Kibaki walibaki kwenye upinzani. Kisha uchaguzi uliofata 2007 chama chao na U.K. wakamsupport Mwai Kibaki dhidi ya Raila Odinga. Yaani kuwa kwenye upinzani huwa haichukuliwi kama kukosa uzalendo. Infact wengi wa wanaounga mkono chama tawala huwa wanaheshimu na wanaelewa jukumu ambalo huwa linatimizwa na upinzani. Mfano mzuri ni Raila Odinga ambaye ushawishi na appeal yake huwa ni zaidi ya uungwaji mkono wake kisiasa.

You got some serious points here
 
Katika siasa wakenya kaeni kimya kabisa, Kenya hakuna siasa yoyote ni ukabila mtupu, (No political ideology, what exists in Kenya is tribe pilitics), iliyotawaliwa na kabila tatu tu, Kikuyu, Kalenjin na Jaluo, kama haupo ktk kabila hizo, sahau kuwa rais wa Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app

TZ yetu hii na bwana mawe mwenyewe kwa mkono wake anakoroga ukabila na ubaguzi among watu huongei!?
 
TZ yetu hii na bwana mawe mwenyewe kwa mkono wake anakoroga ukabila na ubaguzi among watu huongei!?
Tunazungumzia misingi ya siasa za nchi, sio utawala wa mtu au kipindi cha utawala mmoja. Kenya msingi wao wa siasa ni ukabila, haijalishi nani atakayekuwa rais.

Kuhusu Tanzania, acha kulazimisha mambo kwasababu umekosa points. Ukiacha tatizo la kuminya Uhuru wa kujieleza, Magufuli hana upendeleo wa aina yoyote, tena bora hata Kikwete alikua na ujamaa na kuwalinda marafiki zake, Magufuli sio mkabila, dini wa ukanda, yeye anachojali ni Kazi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom