Kenya na rwanda zazuia bidhaa za tanzania. Long live ea community!!

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,017
..hivi kwanini Kenya na Rwanda hawaishi kutuzingua?

..hebu angalieni jinsi wafanya biashara wetu wanavyonyanyasika.

..halafu JK na Pinda hawaishi kutusimanga kwamba fursa za biashara zimejaa tele tatizo ni sisi Watanzania hatuzichangamkii.

..Wazalishaji wakubwa kama Azania na SSB wanasumbuliwa hivi, sembuse raia wa kawaida wa Tanzania?

..KWA MTIZAMO WANGU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NI MRIJA WA KUTUNYONYA WATANZANIA.


Tanzanian traders are petitioning the government to stop paying dues to the East Africa Community over Kenya’s refusal to allow wheat imports from their country — a move that could spark a fresh trade war between the two East African countries,
The decision is the culmination of nine months of intense lobbying by Tanzanian wheat traders who claim they are victims of unfair competition since Kenyan goods have flooded their markets.

Mohamed Bashrahil, the sales and marketing manager of Azania Wheat Flour, told The EastAfrican in Dar es Salaam last week that the country was “wasting” its money contributing to the running of the EAC Secretariat, as there were no benefits accruing to Tanzania.
According to Mr Bashrahil, Kenyans were killing the spirit of free trade in the regional bloc by not allowing flour from Tanzania into their country.
“A 30 tonne truck carrying flour into Kenya, for example, attracts almost Tsh19 million ($12,000) in taxes. This is aimed at ensuring they protect their local producers. And as if this were not enough authorities have also refused to honour certificates of origin from Tanzania for no good reason,” he said.

The largest milling company and a major producer of maize and wheat flour in East Africa, Said Salim Bakhresa and Company Ltd (SSB) has also encountered similar problems and has opted to stop exports to Kenya.
Assistant general manager of SSB Hussein Sufian told The EastAfrican in Dar es Salaam last week that his firm and Azania Wheat Flour Ltd invited officials from Kenya and Rwanda — which also bars Tanzania wheat exports — to ascertain the quality of their flour but they “still stuck to their guns.”

“The rules of origin within the Common Market are still not very clear and that is why the Tanzania government has taken up the issue with the EAC Secretariat,” said Mr Sufian.

At the last EAC meeting in Arusha, Tanzania’s Ministries of Trade and Industry as well as East African Co-operation made their case but no consensus was reached.

The Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) recently called on EAC member states to eliminate non-tariff barriers to trade in the bloc.

TCCIA president Aloyce Mwamanga said Tanzanian maize and wheat flour exporters were finding it difficult to access Kenyan and Rwandan markets due to non-tariff barriers. “In doing business among EAC member states, we face a number of challenges but non-tariff barriers are the most irritating,” said Mr Mwamanga.

According to Mr Mwamanga, Tanzania has the most maize and wheat millers in the region. “But it is frustrating to see that flour from the country is denied entry into Kenya and Rwanda for reasons only known to Customs officials from the two countries,” he said.

Mr Mwamanga was referring to a recent event in which three trucks carrying 90 tonnes of wheat flour, belonging to the Azania Wheat Flour Mill were allegedly denied entry into Kenya at the Horohoro border post.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
..hivi kwanini Kenya na Rwanda hawaishi kutuzingua?

..hebu angalieni jinsi wafanya biashara wetu wanavyonyanyasika.

..halafu JK na Pinda hawaishi kutusimanga kwamba fursa za biashara zimejaa tele tatizo ni sisi Watanzania hatuzichangamkii.

..Wazalishaji wakubwa kama Azania na SSB wanasumbuliwa hivi, sembuse raia wa kawaida wa Tanzania?

..KWA MTIZAMO WANGU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NI MRIJA WA KUTUNYONYA WATANZANIA.

Haya mambo yalitegemewa lakini watu madarakani wanatafuta umaarufu si maslahi ya kitaifa. Mchezo ni mchafu ni mchafu zaidi ya hapo, kwa sababu inaelekea hizo nchi mbili zinajitosheleza kwa bidhaa hizo kwa njia mbadala (magendo) kutoka Tanzania. Mimi ni mkulima, wakenya wako tayari kuja kununua mahindi toka shambani kwangu Dodoma. Wanayapitishaje mpakani wanajua wenyewe.

Lakini tunalalamika njaa huku wengine tunapata mazao bei ni ya kipuuzi, halafu unazuiliwa usiuze nje. Ni ujinga, upuuzi na uonevu usio halali. Tukija kwa akina Bahresa nao wanataka mazao yetu kwa nguvu kwa bei wanayotaka.

HAYA YANATOKEA TANZANIA TU KUTOKANA NA SERIKALI ISIYOJIELEWA
 
La msingi hapa ni kuangalia Rules of Origin. Kenya na Rwanda wanajua kabisa ngano inayosagwa Tanzania huwa imeagizwa kutoka nje ya EAC hasa Canada. Kinachofanyika Tanzania ni usagishaji tu. Gharama za usagishaji huo zinaweza kuwa za chini kiasi kwamba hazifikii asilimia inayoruhusiwa kulingana na Rules of Origin za EAC.
 
EA COMMUNITY nh usanii tu, hakuna kitu hapo. Ngoja sudan kusini waingie tupigane vita!
 
Siku nyingi mimi nilikuwa nasema EAC ni usanii kama alivyo Kikwete, bora to stick kwenye SADC kuliko EAC
 
Tatizo lipo kwenye import duty ya ngano.Kenya inatoza ushuru wa 25% kuwalinda wa kulima while Tanzania tuliwatupa wakulima siku nyingi import duty ni 10%.Tanzania kuuza unga kenya itawa undercut kenya millers kutokana ushuru mdogo wa kuagiza ngano.,Common external tariffs ndio suluhisho/ hili gumu to implement sera ya Kenya ni kuwalinda wakulima wa ngano ambao wa nazalisha zaidi tani 350000 per year.
 
Tatizo lipo kwenye import duty ya ngano.Kenya inatoza ushuru wa 25% kuwalinda wa kulima while Tanzania tuliwatupa wakulima siku nyingi import duty ni 10%.Tanzania kuuza unga kenya itawa undercut kenya millers kutokana ushuru mdogo wa kuagiza ngano.,Common external tariffs ndio suluhisho/ hili gumu to implement sera ya Kenya ni kuwalinda wakulima wa ngano ambao wa nazalisha zaidi tani 350000 per year.
Hivi tanzania ngano inalimwa wapi?...tani ngapi kwa mwaka?.....tunatumia tani ngapi humu nchini mpaka tuweze kuexport nje?
 
Hivi tanzania ngano inalimwa wapi?...tani ngapi kwa mwaka?.....tunatumia tani ngapi humu nchini mpaka tuweze kuexport nje?

Kobello are you serious haujui kama Tanzania inalima ngano? nenda kaulize TBL! GOSH!!!

Anyway, back to the thread, yule 'waziri mdogo' anaweza kueleza ni kitu gani kinaendelea mpaka Tanzania wapigwe stop?
 
La msingi hapa ni kuangalia Rules of Origin. Kenya na Rwanda wanajua kabisa ngano inayosagwa Tanzania huwa imeagizwa kutoka nje ya EAC hasa Canada. Kinachofanyika Tanzania ni usagishaji tu. Gharama za usagishaji huo zinaweza kuwa za chini kiasi kwamba hazifikii asilimia inayoruhusiwa kulingana na Rules of Origin za EAC.
Wewe unaonekana una pointi, kwa hiyo hizo ROO zinahusikaje na kuzuia kuingiza/import bidhaa?
 
Kobello are you serious haujui kama Tanzania inalima ngano? nenda kaulize TBL! GOSH!!!Anyway, back to the thread, yule 'waziri mdogo' anaweza kueleza ni kitu gani kinaendelea mpaka Tanzania wapigwe stop?
somewhere ,somehow someone is making superprofits at expense of Tanzania wheat farmers.
 
Kobello are you serious haujui kama Tanzania inalima ngano? nenda kaulize TBL! GOSH!!!

Anyway, back to the thread, yule 'waziri mdogo' anaweza kueleza ni kitu gani kinaendelea mpaka Tanzania wapigwe stop?
Mkuu,kuhusu ngano,index zote zinaon yesha kuwa sisi ni net importer wa ngano.
Domestic consumption yetu ni kama metric tonnes 620 kwa mwaka na tunaproduce kama metric tonnes 150 kwa mwaka.Mimi sitaki kabisa kuamini hizi indexes za masoko ya dunia,ila facts bila namba huwa hazina mshiko.
Naomba mnijulishe kuhusu production ya ngano tanzania,kwa sababu ninavyojua mimi,ngano ya tanzania haitoshelezi mahitaji yetu kama watu wengi tunavyoshabikia.
Sitaki kejeli.
Source:IndexMundi.
 
What went wrong with Hanang wheat projects?Mradi ulikuwa unatoa matumaini on the future of large scale mechanized farming in Tanzania. Sadly this wanst to be.
 
Joka kuu,
I think there is more than meets the eye. Kama kweli hiyo ngano na mahindi ni ya Watanzania basi then something needs to be done.
Lakini kama hiyo ngano ni imported, kama alivyodai mchangia mada mmoja hapa, basi Kenya na Rwanda wana kila haki ya kuzuia soko lao
lisiwe flooded na imported grain. Na sisi je?
 
kama wao wanapiga pin na sisi tufanye hivyo hivyo ndio maana USA na RUSSIA wanaheshimiana maana action na reaction are equal

Siyo CCM mkuu wavivu sana wakufikiri hawa jamaa, ebu angalia tulivyo bweteka na KCB hapa wakati wakina Kimei wameshindwa hata branch moja nje ya Tanzania? Majeshi yetu yamekaa miaka kibao Uganda baada ya vita vya Amini na ndio ili kuwa opportunity ya kuwekaza Uganda lakini hamna kitu kiwanda cha sukari kagera ndio kwanza hata hatujui wanafanya nini, wakati kama CCM ingeluwa makini wangeweza kukamata soko lote la sukari Uganda mara tu baada ya Vita.

Hao wanyarundwa hadi kusoma wamesoma hapa na wengine wapo ndani ya CCM hadi leo lakini tumeishia kuwaifadhi tu! wakati kama CCM inge kuwa makini baada ya vita vya Rwanda Tanzania ilikuwa na opportunity nzuri ya kusaini mikataba ya kuijenga upya Rwanda kazi ya ni kusaini mikataba ya kugawa madini na wanyama na mazao ya miti kwa rushwa kwenda ngambo tu!

Tulikuwa na nafasi ya kuwekeza na kupata nafasi za ajira na nafuu ya visa katika nchni za A.Kusini, Zimbabwe na Msumbuji kwa wamakonde lakini CCM hawajui la kufanya wanasinzia tu!

Hiki chama lazima kiondoke maana ukikifikiria unaweza kulia bure.
 
ukweli ni kwamba wa kenya wanataka raw materials tuu toka tanzania,lakini bidhaa zilizotayari hawataki kabisa tuingize kwao.cha muhimu nasi tukataze za kwao kuja kwetu!!!
 
Kule kwetu Hanang,nina tani 1000 ghalani(mwenyewe) kobello vipi bwana!
Duh! sorry nilimaanisha tunatumia 620,000 tonnes na kuzalisha less than 150,00tonnes.
Nilipouliza zinalimwa wapi na kwa kiasi gani nilikuwa nataka watu watoe data badala ya porojo,sikumaanisha kuwa sijui zinalimwa.But those questions were supposed to be provocatieve.
 
..hivi kwanini Kenya na Rwanda hawaishi kutuzingua?

..hebu angalieni jinsi wafanya biashara wetu wanavyonyanyasika.

..halafu JK na Pinda hawaishi kutusimanga kwamba fursa za biashara zimejaa tele tatizo ni sisi Watanzania hatuzichangamkii.

..Wazalishaji wakubwa kama Azania na SSB wanasumbuliwa hivi, sembuse raia wa kawaida wa Tanzania?

..KWA MTIZAMO WANGU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NI MRIJA WA KUTUNYONYA WATANZANIA.
Siipendi EAC,ila hawa wafanyabiashara wanaboa,kwanini waexport ngano ilhali demand hap;a tanznia ni kubwa kuliko production?
 
NCHI ILISHALAANIKA HII, tunakuwa vimbwa nyumbani kwe2, tunanyanyaswa na.... Dah! Mpaka nashindwa la kusema! MUNGU INUSURU NCHI HII NA LAANA INAYOITAFUNA SLOWLY!
 
Back
Top Bottom