Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi una zani hizi silaha zipo kwa ajiri ya wakina nani? Ma nuklia magobole nk...
Hata mm nimeshangaa sana.Walinzi wa Ikulu nao wazembe mtu kachomoa kisu unampiga risasi? Hao walinzi wazembe.
Ni wa ajabu sana! Walinzi wengine wangesimama kwa nyuma ili kumlinda wa mbele ambaye angepambana naye kumpora kisu na kumdhibiti.Hata mm nimeshangaa sana.
Yale maonyesho yao ya karate wanayoonyeshaga kwenye uwanja wa Taifa siku za maazimisho kwa Nini wasitumie mahala Kama hapo wamdhibiti?
Badala yake wanamfyatulia risasi kijana mdogo Kama yule hata maisha hayajui.
Mimi pia nimemshangaa. Yeye anaona kuvamia ikulu ndio kujitambua. Inasikitisha!Kumbe wewe ni mjinga hivi ?
Sawa Kama ww ni Askari uliyeiva na mafunzo unaogopaje kisu?
Anawakilisha tabia halisi za watu wa kiberaMimi pia nimemshangaa. Yeye anaona kuvamia ikulu ndio kujitambua. Inasikitisha!
Sio kumlenga raia asiye na nguvu ila ni kumlenga adui wa kivita au jambazi.Moja ya mafunzo ya askari alieiva ni kulenga shabaha
Sio kumlenga raia asiye na nguvu ila ni kumlenga adui wa kivita au jambazi.
Jambazi huwa haruki ukuta kizembe vile halaf umuone waziwazi.Tofauti ua huyo na jambazi ni ipi maana alikuwa na silaha pia na akaparamia ukuta
Sawa lakini vip kama angefanikiwa kuingia ndani unahisi angefanya nini?Jambazi huwa haruki ukuta kizembe vile halaf umuone waziwazi.
Jambazi hadi umpate ujue ameshamimina risasi za kutosha na lazima afe na watu angalau watatu.
Jambazi hawez kuja kirahisi na kisu halaf akionyeshe waziwazi.
Wewe unamtetea baada ya kupata full story kuwa ni kijana ambae anasoma na inawezekana ni msongo wa mawazo unamsumbua. Ila kwa wakati huo askari wameshtuka mtu amesharuka ukuta halafu baada ya kumwambia ajisalimishe anachomoa bisu! Hapo askari walikua sahihi kabisa. Zingatia matukio ya kigaidi yaliyotokea Kenya lately huwezi jua tofauti na kisu anaweza akawa na silaha gani nyingine. Ata kama angekuwa na bakora ila kitendo cha kuto kutii amri kutoka kwa askari mwenye bunduki hiyo ni ishara kwamba amejipanga kwa lolote. Kosa kama hiyo risasi wange mlenga sehemu ya kumaliza. Ila best scenario wange amrisha mbwa waka mzingue then wao wakafuata baada ya kuchakazwa na mbwa.Sio kumlenga raia asiye na nguvu ila ni kumlenga adui wa kivita au jambazi.
Angekuwa na jina kama la hussein hiv au Abdul fulan...wangeshasema ni gaidi...Anaonekana kama zao la alshabab hivi