Hatimaye mgombea kiti cha USPIKA nchini Kenya kutokea chama cha upinzani ashinda kiti hicho. Mgombea huyo aitwaye Kenneth Marende iliibuka kidedea kwa kura 105 dhidi ya kura 101 za mpinzani wake aliyekuwa akiiungwa mkono na serikali (Francis ole Kaparo)
Tunajua vilifanyika vikao vya siri kati ya PNU na ODM ya Kalonzo kuhakikisha ushindi kwa vyama vyao ambavyo vinaiunga mkono serikali lakini jamani sauti ya watu ikishatamka basi hakuna jinsi. SASA KAZI KWA MWAI KIBAKI, sijui hiyo serikali hataiendesha vipi wakati kapoteza ushindi bungeni.
Tunajua vilifanyika vikao vya siri kati ya PNU na ODM ya Kalonzo kuhakikisha ushindi kwa vyama vyao ambavyo vinaiunga mkono serikali lakini jamani sauti ya watu ikishatamka basi hakuna jinsi. SASA KAZI KWA MWAI KIBAKI, sijui hiyo serikali hataiendesha vipi wakati kapoteza ushindi bungeni.