Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
mimi sikujua kuwa kuna vita kubwa namna hii hadi nilipoisoma hii khabari ya kuwa makanisani wanawake waliolewa wanakazi moja tu kulinda waume zao wasirubuniwe na spinsters............................hata vyooni huwafuata...........................just in case loitering women wasije kuwadaka............na hata vipigo ni jambo la kawaida ...............................jisomee mwenyewe................
Scramble for men goes to church
Scramble for men goes to church