KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Mahakama imempa ushindi mwombaji yaani Odinga hivyo uchaguzi umeonekana ulikuwa na kasoro na utarudiwa ndani ya siku sitini.

Nchi za Afrika zijifunze hasa Tanzania

IMG_3367.JPG

Hivi punde,Mahakama ya Juu ya Kenya imeridhika na hoja za Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) kuwa uchaguzi haukufuata Katiba na sheria na ulikuwa na kasoro. Ni uamuzi wa Majaji wengi.

More to come...


=======
Updates:
=======

Amri za Mahakama ya Juu ya Kenya

1. Uchaguzi ulikuwa batili

2. Mshindi ni batili

3. Uchaguzi mpya uitishwe ndani ya siku 60

4. Kila upande ubebe gharama zake

5. Hukumu itapatikana ndani ya siku 21 kuanzia leo

=======


The Supreme Court has quashed President Uhuru Kenyatta's re-election, ordering for a fresh presidential election in 60 days.

The court stated that IEBC did not conduct free and fair elections but cleared Kenyatta of any malpractice.

They also stated that the irregularities experienced affected the final outcome of the election.

Out of the 7 judges, 2 (Justice Jackton Ojwang' and Njoki Ndung'u) gave dissenting views saying the election was free and fair.

Chief Justice David Maraga, however, stated that what they read was a 'determination of the court and not a ruling'.

Maraga stated that the election of President Uhuru Kenyatta is null and void and he was not validly elected.

He further ordered a fresh election in 60 days according to the law.
 
Kwa vile leo ni mapumziko na niliowataja wako majumbani sasa hivi basi sio vibaya wakafungulia Luninga zao na kuona Supreme court ya Kenya inafanyaje maamuzi yake kwa uwazi na bila woga kwa kesi ya Uchaguzi wa Urais wa nchi hiyo.
Nimefurahishwa sana na uwazi mkubwa unafanywa na mahakama hiyo ya Kenya na ni wazi tunalo la kujifunza kutoka kwao
Mku ninafuatilia hapa si mchezo wenzetu wako mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah mm lugha yao ya kisheria kwangu chenga tu,nasubir mwishoni kusikia tu fulani ndo kashinda baaas.
 
Back
Top Bottom