KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Hivi punde,Mahakama ya Juu ya Kenya imeridhika na hoja za Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) kuwa uchaguzi haukufuata Katiba na sheria na ulikuwa na kasoro. Ni uamuzi wa Majaji wengi.

Kuna mjinga mmoja alibabaishwa na kiingereza cha Lumumba akasema hoja zote za NASA zimemalizwa. Sijui atajisikiaje kwa uamuzi huu. Lakini tuwe wakweli, kwa Afrika nzima hakuna nchi yenye demokrasia kama Kenya kwa sasa. Na ninaamini wataendelea sana kiuchumi pia kutokana na kuwa so democratic. Hongereni sana majirani zetu. Ngoja sisi tuendelee kupambana na hali yetu.
 
Nasema CHADEMA ni aibu na wanatetea wezi kwa kiwango hiki. Tunawambia kila siku, chama kisiendeshwe na mtu ila sera za pamoja na zinazojisema zenyewe.

Mfumo huu wa CHADEMA wa kutetea hata uovu iwe fundisho.

Mwenyekiti aamuke na kuendesha chama kama taasisi na si matamko ya watu au fikra zao.
 
Nimekuwa nalituhumu Gazeti la Mwananchi na Kampuni ya Nation Media Group unayotaka Magazeti ya The Citizen na The East African jinsi yanavyoandika ovyo taarifa zinazohusu Tanzania hasa Serikali hata kama jambo ni la kawaida wanalifanya kama ni baya kutokea.

Waliandika karibia kila siku kwenye front pages taarifa za mauaji ya Kibiti na kutoa makala mbili juu ya mauaji hayo. Hata hivyo, Wakenya wamekuwa wakiuuawaila kwenye uchaguzi, wanatuficha taarifa huru wanaandika zilizotolewa na mamlaka lakini hakuna sehemu wameandika taarifa ya uchunguzi juu ya mauaji hayo.

Hata kifo cha Msando wa IEBC hawakukipa nafasi muhimu kwenye taarifa zao licha ya kilo hicho kuonekana wazi kimetendwa na Serikali.

Sasa nasubiri kuona watakavyoandika taarifa za uchaguzi kurudiwa ndio wao be Ainu kwa madudu yote waliyoandika dhidi ya Odinga.
Utakuwa na kichaa wewe kwani ni uongo mauaji ya kibiki yalikuwa hayatokei ?!! Kwa ushauri wako ulitaka waandike vipi suala la kibiti!


Vichwa maji kama nyie ndio mmelifikisha taifa hili hapa tulipo.. Watu mmejaa unafiki mpaka Mungu anawaogopa

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
The Supreme Court has nullified President Uhuru Kenyatta's win. - The final verdict was announced on Friday, August 31, by the six judges. - The Supreme Court found that the Independent Electoral and Boundaries Commission carried out an election marred with illegalities.

commred Chichimizi
Source of information?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom