Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Marekani imetahadharisha Raia wake wasisafiri kipindi hichi cha #COVID19 kuingia Kenya kwa kuwa matukio ya kihalifu yameongezeka mara dufu.
Onyo limetolewa kuwa kuna ongezeko la ugaidi, utekaji watu, na utekaji magari pia masuala ya afya na ujambazi ambayo ni pamoja na kuvunjiwa nyumba.
Maeneo yaliyowekewa mkazo ni mpakani mwa Kenya na Somalia, kaunti ya Turkana, Kibera na maeneo ya mwambao.
Kwa wamarekani walioko Kenya wameshauriwa wakikabwa wasiwe wabishi ili kuepuka madhara, pia wameshauriwa kutembea na photocopies za pasi zao za kusafiria.
Onyo limetolewa kuwa kuna ongezeko la ugaidi, utekaji watu, na utekaji magari pia masuala ya afya na ujambazi ambayo ni pamoja na kuvunjiwa nyumba.
Maeneo yaliyowekewa mkazo ni mpakani mwa Kenya na Somalia, kaunti ya Turkana, Kibera na maeneo ya mwambao.
Kwa wamarekani walioko Kenya wameshauriwa wakikabwa wasiwe wabishi ili kuepuka madhara, pia wameshauriwa kutembea na photocopies za pasi zao za kusafiria.
Kenya Travel Advisory
travel.state.gov