Wakenya hata mimi ua navutiwa na tamthilia zao. Kuna mojja nilikuwa naitazama kitambo alikuwemo hadi Lincoln Sebeko wa Isindigo sijui ilikuwa inaitwa bwana shamba.Nimekua nikifuatiliA tamthilia za wakenya Na comedy zao huwa zinanirushisha kuliko izi za wabongo,yani kama comedy za wabongo naona ma shamba boy hapa home ndio wanazifurahia sana btw mm Niko Na degree mbili ndio mana wabongo hawawezi ku deal Na akili kubwa uzi tayari Na mitano tenaaa wakuu
Degree mbili..Nimekua nikifuatiliA tamthilia za wakenya Na comedy zao huwa zinanirushisha kuliko izi za wabongo,yani kama comedy za wabongo naona ma shamba boy hapa home ndio wanazifurahia sana btw mm Niko Na degree mbili ndio mana wabongo hawawezi ku deal Na akili kubwa uzi tayari Na mitano tenaaa wakuu
Sibeko huyu huyu?Wakenya hata mimi ua navutiwa na tamthilia zao. Kuna mojja nilikuwa naitazama kitambo alikuwemo hadi Lincoln Sebeko wa Isindigo sijui ilikuwa inaitwa bwana shamba.
Ndiyo na ni tamthilia ya muda nimeitazama nadhani ilikuwa between 2014/2015-2016 ilikwua inaonyeshwa Maisha MagicSibeko huyu huyu?
Walikuwa na pesa ya kumlipa?Ndiyo na ni tamthilia ya muda nimeitazama nadhani ilikuwa between 2014/2015-2016 ilikwua inaonyeshwa Maisha Magic
Kituu Kama ilikuaga inaitwa Siri ilikua Ni ya maisha flani ya shamba it was so touching storyNdiyo na ni tamthilia ya muda nimeitazama nadhani ilikuwa between 2014/2015-2016 ilikwua inaonyeshwa Maisha Magic
MCA TrickyChuchil show ni the best kwangu. Jemutai, Mamito na yule dogo alikuwa-ga chokoraa jina nimemsahau
AlmasiWakenya kwenye uigizaji Tamthilia nawakubali, hadi leo Tanzania hatujawahi kuwa na tamthilia kama tausi
Absolutely true uelewa unakua tofauti kwa msomi Vs asieMsomiMkuu kuna utofauti sana ya uelewa mtu wa degree na mtu ambaye hajafika shule
Kwani wadhani isindigo wanalipwa ela nyingi, anayelipwa pesa nyingi mle haizidi kiasi cha Tshs 1,800,000 za Kitz, wengi wanachezea laki sita mpaka nane, wanaotokea mara moja wanakula chini ya buku 40,000. Hata mimi nilidhani wanalipwa pesa ndefu ila kama wiki iliyopita ndipo nikasoma hapa Revealed: How much South African soapie actors earnWalikuwa na pesa ya kumlipa?
Yah mkuu kulikuwa kuna shamba la chai wafanyakazi wanalipwa ujira mdogo. Siikumbuki jina na sikuimaliza nikahamia AZAM TV baada ya kuambiwa iko bombaKituu Kama ilikuaga inaitwa Siri ilikua Ni ya maisha flani ya shamba it was so touching story
Asante nduguMCA Tricky
Mimi ni mdau mkubwa wa isidingo .Kwani wadhani isindigo wanalipwa ela nyingi, anayelipwa pesa nyingi mle haizidi kiasi cha Tshs 1,800,000 za Kitz, wengi wanachezea laki sita mpaka nane, wanaotokea mara moja wanakula chini ya buku 40,000. Hata mimi nilidhani wanalipwa pesa ndefu ila kama wiki iliyopita ndipo nikasoma hapa Revealed: How much South African soapie actors earn
Imagine maisha ya Licoln ndani ya penthouse anaongela private jet, vacations kumbe anaigiza tu. Ila yale maisha yanamfanana sema tu ni kama Mzee Chilo akiigiza kama tajiri kumbe hana kitu.Walikuwa na pesa ya kumlipa?